Ccm uwasikilize ukawa? Nyie tusubilini tuu miujiza ilihili taifa lionekane halina laana. Vingne nikujiburudisha tuu ili siku ziende hakuna la maana hapo.
Sijui nani katuloga kuna maswala mengine haya hitaji elimu ya juu kuona uozo.
Lakini kwa mtanzania ilisha shindikana kabisa kujua anaetia shida ktk taifahili. Ivi hakunaga sehemu ya ku Google unajua taifa lawatu ambao hawajitambui mwombeni msaada jamani.
Kwa akili yako unazani wakipewatu tayari wana amini nikweli?ndugu hakunaga ripoti iliyo na utata ifanyiwe maamuzi ya upande mmoja. Watu watahitaji kujilizisha hakunaga kesi inasikilizwa upande mmoja.
Jana nilikuwa na mzmbabwe aliniambia maneno ambayo binafsi yalinitisha sana. Aliniambia kule kwao baada ya kufukuzwa wawekezaji na mgabe watu waliflahia sana wakajua mambo yatakuwa swali. Lakini jamaa alisema walijikuta mpa dhahabu za wachimbaji wadogowadog i mean dhahabu ya zimbabwe in general...
Ulisoma lakini kilicho andikwa ndani maana magazeti huwa yana kasumba yauandishi fulani wa kuvutia wateja.ukifungua kurasa kumbe wamenukuu kipande cha maneno fulani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.