Inaonesha umeshiriki kwenye mchakato mzima wa kumpata mzabuni uliyemtaja na kwa jinsi unavyolalamika inaonesha kuna vipengele hukuridhika navyo..nadhani hapo ndo ututhibitishie uhalali wa andiko lako kuwa ni kweli kampuni tajwa ndo imeshinda zabuni na wapi liko kosa
Wasafi ilianza vizuri lakini inaharibiwa na usajili..tengeneza base nzuri kwa kuwatumia wakongwe...radio ina shikwa na vipindi vikuu vitatu...Taarifa ya habari...Michezo..then Vipindi vya burudani...wanachokosea wasafi kwanza sina uhakika kama wanae program manager mwenye anayefit nafasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.