Habarini za muda huu Wanajamvi poleni na mihangaiko ya wiki nzima nimekuja hapa kutafuta soko la kuku wa nyama (broiler) kwa Moshi na hata njee ya Moshi kwa sasa kuku Wana week 4 na siku 5 hivyo nipotayari kuanza kuwavuna kwa ajili ya kitoweo naomba kwa yeyote yule mwenye uhitaji na bidhaa hiyo...
Habarini wanaJF kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Naomba kufahamu kama kuna mtu anaweza kunifanikishia kupata kioo kwa ajili ya Samsung A90 cha kwangu kimepasuka sasa naitaji kukibadilisha mwenye nacho naomba aje inbox
Habarini za jioni wanandugu,
Nimekuja kwenu kuomba kufahamishwa au kuelimishwa namna ya kutengeneza chakula kwa ajili ya kuku, chakula hicho kikiwa na virutubisho vyote pamoja na madini yote.
Naombeni muongozo wenu katika hili
Asanteni
Habarini wanabodi nimekuja kwenu kutaka kufahamu kama kunauwezekano wa mimi kuomba kubadikisha uhamisho ambao nimeomba lakini bado sijajibiwa
Awali niliomba kuhamishwa njee ya mkoa niliopo, na hii nikutokana na changamoto za kifamilia
Kwa sasa natamani nibaki kwenye mkoa huu niliopo lakini...
Habarini wanandugu kama kichwa kinavyojieleza naomba kufahamishwa namna bora yakuondoa google account kwenye simu ikiwa nimesahau password za hiyo email
Naamini nitapata msaada katika hili
Habarini za wakati huu wananzingo
Nimekuja kwenu kwa lengo la kutaka kupata uzoefu na kuongeza ujuzi zaidi katika kozi nikiyoitaja. Ombi langu kwenu ni kama yupo mtu anaeweza kunisaidia katika kupata maarifa hayo kwa maeneo ya Moshi naomba anitumie ujumbe PM
Asanteni natanguliza shukrani zangu...
Habari za muda huu wananzengo nakuja kwenu muda huu nikiwa na uhitaji wa pumba ya mahindi
Sifa za pumba
1= iwe imekauka yaani iwe kavu kabisa
2= iwe na chakula cha kutosha
3= iwe nyeupe isiwe brown au njano
Na kilo nitanunua kwa shilingi 200 na ofa yangu haitazidi 240
Kama kuna mwenye...
Habarini wanjukwaa na poleni na mihangaiko ya hapa na pale
Mchana wa leo nonakuja kwenu kutaka kupata msaada wa mawazo hasa katika biashara ambayo mtu anaweza fanya na ikamsaidia kujikimu katika mahitaji yake
Kwanza kabisa nina kuku kama 200 ivi lakini nilipata changamoto ya magonjwa na...
Habari za muda huu wanajukwaa,
Naomba kama kuna mtu anayo pumba ya mahindi au anafahamu wapi inapatikana kwa wingi naomba anifahamishe
Naitaji Pumba ya mahindi yenye sifa hizi
[emoji666]Nyeupe isiwe imevunda
[emoji666]iwe imekauka kabisa isiwe na unyevu unyevu
[emoji666]iwe na chakula cha...
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu naitaji pumba ya mahindi
Sif za pumba
[emoji666]iwe pumba kavu
[emoji666]iwe na chakula
[emoji666]iwe nyeupe
Isiwe brown kama una pumba ya aina hiyo karibu kwa mjadala na weka na bei yako kwa kilo unauzaje na unapopatikana
Karibuni kwa mjadala
Habari wanajamvi naitaji kwa mwenye vifungashio vya huhifazia nyama ya kuku
Aniambie anauzaje kifungashio kimoja na label pamoja na design atanifanyia kwa shilingi ngapi
Mimi nipo Moshi naomba kama kuna anaeweza anifahamishe
Asanteni na karibuni sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wanajamvi nina kuku wa nyama wapatao 200 ambao Mungu akipenda kuanzia tarehe 17/12/2018 nitaanza kuwatoa
Hivyo naomba kama mtu ana uitaji na kuku hawa aje ani PM ili aweke oda mapema
Bei ni shilingi 7500 kwa kuku mmoja
Pia kuanzia mwakani nitakuwa nauza mayai ya kuku wa kienyeji...
Wanajamvi habarini za muda huu
Naomba kwa mwenye samples za research katika kada ya education anisaidie kuweka hapa sample hizo
Natumaini wadau mtanisadia na kunishauri katika hilo
Natanguliza shukrani zangu
Asanteni
Wanajamvi naomba kufahamishwa ni mambo gani yanaitajika ili kuweza kusafirisha dagaa na uduvu kwa ajili ya chakula cha kuku
Naomba kwa mwenye kuelewa anifahamishe
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza naomba kufahamishwa ni aina gani ya vibali vinaitajika ili niweze kusafirisha uduvi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine bila kupata usumbufu wowote ule barabarani
Naombeni sana mawazo na msaada wenu katika hili wanajamvi
Naisubiria michango yenu
Asanteni
Wakuu kama kichwa kinavyo jieleza naitaji kununua mbegu za maboga kwa mwenye nazo naomba anifahamishe anauzaje kwa kilo na anapatikana wapi
Asanteni nawasilisha
Naitaji kuanza kufuga kuku wa kienyeji kwa ajili ya biashara
Lengo la kuanzisha uzi huu ni ili nipate elimu kwenu wanandugu ya aina gani ya kuku watakuwa na tija kwa kufuga ambao watataga sana na hawata sumbuliwa na magonjwa mara kwa mara na ambao watakuwa na maumbo makubwa
Ivyo wanajamvi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.