Natafuta simu ya nokia N95 toleo la 2009 au zaidi. Kwa anaejua aliyonayo au kama unayo tuwasiliane kupitia email;
paulakwilini@gmail.com au paulakwilini@facebook.com.
nchi mbona ilishauzwa siku nyingi? Kwa mkataba unaodaiwa kuwa wa miaka mia. Miaka mia moja nani atakuwepo. Na kama atakuwepo m2 wa sasa macho yatakuwa hayaoni. Pia hayo makaratasi waliyosaini yatakuwa yamesha chakaa na kuwa kama unga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.