Hadi mwezi huu wa Septemba unaenda ukigoni, magugu maji bado yapo yamestawi licha ya hiki kiangazi kikali. Pale watengeneze bwawa tu la samaki.
Serikali kupitia NEMC wapigeni marufuku Yanga wasijenge kwenye hilo eneo la wazi ambalo ni mapumulio ya bahari kulingana na uoto wa asili.
Kuna...
Mara nyingi vijana wengi huiga mifano mizuri ya mabosi wao. Bosi huyu sasa ana umri wa miaka 47 licha ya kuonekana kama mti mkavu.
Katika umri huo hana mpango wa kuoa bali ku hang out na mabinti tofauti. Alianza kula wafanyakazi wake kama bint Embe, bint aliamini angefunga ndoa na bosi huyo...
Sugu na Prof. J mtaitwa wasaliti punde tu kama mtakaa kimya bila kuwachokoza polisi. Mtaambiwa siyo wafia chama. Sera kuu ya chama ni kulala rumande kwanza ndiyo utawazwe kuwa kamanda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.