Search results

  1. Matungiza

    Haki za kisheria za Ruge Mutahaba wa Clouds ni zipi baada ya kurekodiwa akilia kwenye simu?

    Siyo rahisi wengine zao zina gundi ya mbali lazima uisikilizie.
  2. Matungiza

    Maana ya neno hallelujah Diamond Platnumz amekosea kulitumia?

    Nadhani kuna kitu zaidi ya hilo jina. Dada mleta uzi huo wimbo una nguvu nje kuliko humu nchini. Chuki za kutoka Tabata kwa Ali hazina nafasi.
  3. Matungiza

    Hivi wanawake mna matatizo gani.?Tizama maajabu ya Zamaradi

    Mtoa mada ni mpuuzi wa kiwango cha kimataifa.
  4. Matungiza

    Ligi kuu Tanzania Bara leo Tarehe 1.10.2017

    Kichuya safi sana, tatizo Omog
  5. Matungiza

    Omog mkishamfukuza tuleteeni sisi...

    Kwa hili bora Yanga mumchukue Omog tu, hafai kubaki Simba.
  6. Matungiza

    Kwa huu wimbo wa Halelluja wa Diamondi tutegemee Seduce ya Alikiba kuendelea kuwa wimbo unaopendwa sana

    Mwanaume anajiita Kipusa, sisi kipusa ni kitu cha kukumbatiwa.
  7. Matungiza

    Diamond we star kujipa majina mengi ni utoto

    Katoka kwenye kiota kaja kumwaga uharo jamvini.
  8. Matungiza

    Lukaku, Morata na Lacazette: Nani mkali zaidi?

    Lukaku zaidi ya wote
  9. Matungiza

    Kocha wa Yanga, George Lwandamina: Mtibwa ni 'pasua kichwa' na wanajua kupambana

    Wqnadai, sina hakika eti kaenda kurinyuu kombora linalofungwa kwenye kibata anachokiweka juu ya kanyagio.
  10. Matungiza

    Klabu ya Yanga maji ya shingo Msemaji afunguka yaomba msaada

    Hadi mwezi huu wa Septemba unaenda ukigoni, magugu maji bado yapo yamestawi licha ya hiki kiangazi kikali. Pale watengeneze bwawa tu la samaki. Serikali kupitia NEMC wapigeni marufuku Yanga wasijenge kwenye hilo eneo la wazi ambalo ni mapumulio ya bahari kulingana na uoto wa asili. Kuna...
  11. Matungiza

    Mtibwa yapania kuwaduwaza Yanga

    Yanga wamejitapa kuwa wale wachezaji wenye mahaba na Simba wameisha huko Mtibwa, waliobaki mambo safi tu.
  12. Matungiza

    Bosi huyu ataoa lini umri unaenda?

    Mara nyingi vijana wengi huiga mifano mizuri ya mabosi wao. Bosi huyu sasa ana umri wa miaka 47 licha ya kuonekana kama mti mkavu. Katika umri huo hana mpango wa kuoa bali ku hang out na mabinti tofauti. Alianza kula wafanyakazi wake kama bint Embe, bint aliamini angefunga ndoa na bosi huyo...
  13. Matungiza

    Joshua Nassari kuweka ushahidi wa madiwani kuhongwa hadharani!

    Maji taka na siasa uchwara
  14. Matungiza

    Ommy Dimpoz kaachia video ya wimbo wake

    Video ya hadhi ya chini sana
  15. Matungiza

    IRINGA: Mbunge Peter Msigwa akamatwa na Polisi baada ya kumaliza mkutano wa hadhara

    Sugu na Prof. J mtaitwa wasaliti punde tu kama mtakaa kimya bila kuwachokoza polisi. Mtaambiwa siyo wafia chama. Sera kuu ya chama ni kulala rumande kwanza ndiyo utawazwe kuwa kamanda.
  16. Matungiza

    Serikali yapiga marufuku tuzo za muziki na mashindano ya Miss Tanzania

    Kati ya waliochangia wewe ni tatizo kichwani.
  17. Matungiza

    Tetesi: UKAWA kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima katika majimbo walioshinda uchaguzi

    Maalim Seif atakuwa bench maana hana wabunge huku bara. Ukawa wameshakuwa wachovu, Dr Slaa ndiye mtu sahihi wengine wote wachumia tumbo.
Back
Top Bottom