mapenzi saanyingine ni kama maigizo hayana formula . kuwa na mbwembwe au pozi za ajabuajabu ktk mahusiano hakutabiriki. haijalishi mtu awe mfupi au mrefu ni hulka ya mtu mwenyewe, jambo la msingi ni kuomba Mungu upate ubavu wako! wawezakuwa unang'ang'ana na ubavu wa mwenzako mwishowe ukaambulia...
Duh jamani kumbe tuache kuigaiga mamboz ya kulambaaaaaaaaaaa. japokuwa kuna raha pale ila side effect ni kubwa sana jamani. hebu tujuze dalili za hako kadisease tukae mkao wa kuelewa kwa kina. maana mmh majangaaaa haya!
hahaaaaaaaaaaaaaaa 4 years. kama ni mtoto keshaenda nursery. duh ama kweli ni mvumilivu kama hajagegeda. maana wanaume type hizo huenda wapo sayari yajupiter. teh teh teh
JAMANI KILA MTU ANAHITAJI KUWA NA FUTURE NZURI IKIWEMO NDOA ILIYOSITARIKA KATIKA MALEZI BORA. FURAHA AMANI NA UPENDO. BAADHI YETU TUNAMSHIRIKISHA MUNGU ATUPATIE WENZA TULIOFANANA NAO ILI TUJENGE FAMILIA TAKATIFU. KAMA WEWE NI BINTI DADO, UNATAMANI SIKU MOJA KUWA NA MUME ALIYETULIA WAKATI SASA...
kuna tetesi kwamba kuanzia mwaka huu wa masomo ada za MA pale UDSM zitapanda mara mbili. c mchezo maisha yanapanda knyamaaaaaaaaaaaaaaaaa. ada ya MA ya Education itakuwa sh, Milion 6.
kuna tetesi kwamba kuanzia mwaka huu wa masomo ada za MA pale UDSM zitapanda mara mbili. c mchezo maisha yanapanda knyamaaaaaaaaaaaaaaaaa. ada ya MA ya Education itakuwa sh, Milion 6.
pole kwa kufokewa japokuwa hujawa specific. kama unampenda kaa nae mzungumze ajirekebashe. kwa kuwa tabia ya gubu binafsi huwa sipendi. angalia sana icje ukajuta maisha yako yote kwa kuchagua wrong number. gud day
yap. nimeipenda hiyo. kwa mtazamo wangu, sio wanaume wote wakwel. kat ya percent 100 percent 10 ndiyo waaminifu. but frankly 90 percent ni wanafiki, waongo, na co waaminifu. tena wengne bila mshpa wa aibu wanakwambia washana mko weng. so inabd mwanaume mmoko awe na wanawake zaid ya wanne! jaman...
Utamchukuliaje mpenzi wako endapo utagundua kwamba anataku criticise kwa watu wake wa karibu kwamba da mshikaji wangu ni mlokole sana! Mi sipendi sana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.