Ongeeni pondeni but let me tell you Im the promoter of TELEXFREE and Im paid money for promoting and advertising company product (VOIP). sasa endeleeni kupiga makelele humu wenzenu tunatengeneza pesa najua roho zinawauma sana network marketing zingine za kimachinga ndo maana mnatuchafulia jina...
mie mwenyewe nataka nikachukue ile ya kutoa kitambi kwa siku 14 ila sina uhakika na ubora wake na kama kweli inasaidia labda jaribu kufika ofic zao unaweza kupata ufumbuzi.
binafsi nimeshuhudia wadada wawili wame2mia vidonge na wamezaa mapacha ila sikufanikiwa kuwauliza dawa zinaitwaje cz sina mpango wa mtoto kwa sasa.
Kuhusu madhara sijui maana watoto hawana zaidi ya miaka mi3 but they are healthier so sijui tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.