Jeshi la police ndo chombo kinachofanya kazi in behalf of gvt kulinda usalama wa watu na mali zao kwa hiyo dosari au upungufu fulani unapoonekana katika jeshi la police katika kutimiza wajibu lazima serikali ilaumiwe na ndo inapoibuka hoja ya kuruhusu wachunguzi wa kimataifa ila kuondoa mzizi wa...
By Inciter-In-Chief.
BAADHI YA WATU MAARUFU WALIOWAHI KUFUNGULIWA MASHTAKA YA UCHOCHEZI.
(1) Namo tarehe 3 April Mwaka 33, Yesu Kristo alifunguliwa mashtaka matatu ya jinai na kati ya hayo moja ya shitka lilikuwa ni shitka la "uchochezi" kwenye ili tunaweza kufanya rejea katika Kitabu cha...
Lissu kawaumbua ndo mana wamebaki kuhangaika !!!! Eti kuna v2 vya siri????? Siri gan wakat mnalipa kwa kodi ze2 !!!! Hao wote wachumia tumbo 2 wanaosema lissu kachochea lengo kumridhixha boss wao !!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili ndogo bn !!! Hv kwa uelewa wa darasa la saba unafikiri wanasiasa walihusikaje kwenye huu mgogoro wakati mahakama ya usuluhishi iliamua na its true ancle alivunja mkataba kiholela !!!! Dah wajinga mtasapotiana wenyeweeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.