kuna aina ya ndege nasikia wameshatoweka.
kule lake eyasi kuna ndege ambao hawapo sehemu yoyote duniani nasikia ni dilli kuliko hata tembo nao hawaonekani tena.
e
hata lukuvi ni jangili..fuatilia bunge usikie.
huko karatu mwenyekiti wa sisiemu alishakamatwa mara kibao na Chadema walisha toa ushahidi alakini hakuna hatua aliyochukuliwa.
kinana live meli yake imekamatwa alakini kutokana na upofu wa masisiemu basi hilo sio tija.
tembo wanaisha jamani...
akaungane na kina mwampamba na shoza.....
hana vision ndio maana yaliowakuta wale madiwani na yanayoendelea kwa shibuda kwake sio simo.
he iz very chip.we dnt need him anymore.
unaupofu wa kukubaliana na ukweli na hali halisi.
alakini ni kawaida ya baadhi yenu.....
angalia zanzibar wanavyojitahidi kufuta historia kua Tito Okelo hawezi kuwepo katika historia ya zenji kisa ni mkristo....hii imani yenu inawagharimu sana, ndio maana nchi zote za dini yenu ni vita,mabomu...
kama una ndugu yako mwanajeshi
mwambie akumegee siri.
yanatoka yakumwaga alakinii kunajimeli lakizungu linapeleka sample kilasiku ulaya.
huko hata waandishi wa habari hawaruhusiwi kufika...usafiri wa huko ni chopa,hata mitumbwi ya wavuvi hairuhusiwi
shamba la bibi hili jombaaa....
Kama ijulikanavyo kua Lowassa anamiliki kiwanda cha usagishaji cha Arusha visivyo halali.Serikali inalijua hili na inalifumbia macho,mbunge na madiwani wote wanalijua hili lakini hakuna anaechukua hatua zozote .Leo Lowassa amevamia eneo la shirika la reli na kulifanya sehemu ya kuoshea magari.je...
ahahaaa......hili lijamaa linaonekana jeupe mno,unaweza kuta pia haelewi hata unaemzungumzia ni nani.
ndio maana kwenye reseach yangu ndogo niliyoifanya nimekuja gundua kua watanzania wenye kujitambua kwenye watu mia sabini ni kanyaga twenda.
ipo kazi mpaka tufike kwenye mageuzi ya kweli.kina...
....duh.!
inasikitisha sana.mitungi pia itakua inachangia,
hapo Karatu matukio ya kutoana roho naona imekua too much sasa,
last time nakumbuka jamaa aligombana na mkewe akamuu then akaua na wanae watatu.
R.I.P mchumba wa babu very.
i cant leave my country with a DOG.
alikua anamaanisha hawezi achia nchi kwa watu kama jeikei na pinda.
hakua anamaanisha Lyatonga au wapinzani.
ona hawa watu kama hawastahili hivyo vyeo ,angalia Nepi,Chemba,yule sokwe wa Gombe,mzandiki lukuvi na timu yao yote.
RIP mwalimu.
kuna mtu alituma post humu jamvini kua hili jizee lenye sura mbaya ni mchawi.
kweli sasa kwa hii kauli hata mimi naamini kua huyu mzee ni MCHAWI.
hile sura ilivyo ngumu !! hakuna mlokole wa staili hile;kuanzia sura mpaka kauli zake.
shahidi wa kwanza ni mtoto aliepigwa risasi.
shahidi wapili ni Mbowe na Lema mashahidi wengine ni sisi tuliokua kwenye mkutano.
polisi leo walivyokua wakipiga mabomu utadhani walikua wanagana na waasi wa boko haram,hayatumii akili kabisa haya majitu.kweli kama kuna kazi yenye laana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.