Wanajamvi, nilichofanyiwa na mtu mmoja wa Chalinze ambaye ni mwizi ndio hiki hapa kwenye picha. Kwa kweli sintonunua chochote Chalinze tena. Huu ni ujambazi na kama watu wa Chalinze mko humu mkanyane ili misfire kupoteza soko la mazao yenu kwa sababu ya huyu jambazi.
Baada ya furaha au maudhi ya ujio wa katiba mpya inayopendekezwa na CCM sasa tujiandae wafanyakazi na janga kubwa zaidi ya dhuluma inayokwenda kupitishwa na bunge la JMT lijalo huenda kupitia mswaada mpya wa mifuko ya hifadhi ya jamii.
Inasemakana baada ya Serikali kuifilisi mifuko hii na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.