Wangwaana wote niwasalimu
Mimi ni msomi ngazi shahada ya ugavi,niliohitimu moja ya chuo hapa tz miaka mitatu iliyopita,kinachoniumiza nimeshindwa kuitendea haki taaluma yangu hadi sasa nimeamua kujiingiza kwenye ajira ya mkataba ni mwaka wa tatu sasa napambana na ushuru wa masokoni kwenye...
Diwani wa CHADEMA Kata ya Ngarenaro jiji la Arusha, Isaya Doita leo rasmi tarehe 12/03/2020 amejiunga rasmi chama Cha mapinduzi, ni dhahiri madiwani wetu wa CHADEMA jiji la Arusha wanaisha sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za kazi wandugu
Natarajia kumaliza degree yangu hivi karibuni mwaka huu, sasa kutokana na uhaba wa ajira na ukizingatia umri umeshaenda nataka walau nijifunze na udereva kwa ngazi ya VIP ili niwe na wigo mpana zaidi kwenye mihangaiko ya maisha ili nikimbizane na huu umri.
Wadau wa mambo...
Wandugu kuna binti wa kichagga alimuacha mzazi mwenzake aliezaa nae kisa mimi na kumwacha kwa matusi na kejeli za kupindukia akaja kwangu akidai ananipenda sana. Na kusema kuwa mimi amejiridhisha kuwa ndio chaguo lake hivyo anataka tuwe wachumba baadae tuoane, nilikubali kwa tamaa tu kisa binti...
Poleni na mihangaiko ya kutwa wana JF,
Naombeni mnisaidie maana ya neno mfawidhi.
Huwa lina maana gani maana huwa nakutana nalo sana hospitalini chumba kimeandikwa mganga mfawidhi pia mahakamani hakimu mfawidhi
Nawasilisha
Habari za shughuli wandugu naomba kueleweshwa kwa habari ya carrying subject huwa ni mara ngapi kulirudia hilo somo au hakuna limit? na je kuna hasara yeyote unayoipata zaidi ya ile ya kupoteza muda tu na kuwa na mzigo nyumba wa hilo somo? pia mnisaidie kwa mwaka wa pili wa degree unakuaje mtu...
Habari za asubuhi JF,
Nianze kwa kusema kwa ufupi sana. Mimi ni mwenyeji wa Arusha katika pita pita zangu nilikutana na binti kwa muonekana ni mzuri na mrembo sana nikampenda akanipenda na kuanza mahusiano ya kimapenzi.
Muda kupita nikajagundua yule binti kumbe alikuwa na mume wake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.