Wangwaana wote niwasalimu
Mimi ni msomi ngazi shahada ya ugavi,niliohitimu moja ya chuo hapa tz miaka mitatu iliyopita,kinachoniumiza nimeshindwa kuitendea haki taaluma yangu hadi sasa nimeamua kujiingiza kwenye ajira ya mkataba ni mwaka wa tatu sasa napambana na ushuru wa masokoni kwenye...
Diwani wa CHADEMA Kata ya Ngarenaro jiji la Arusha, Isaya Doita leo rasmi tarehe 12/03/2020 amejiunga rasmi chama Cha mapinduzi, ni dhahiri madiwani wetu wa CHADEMA jiji la Arusha wanaisha sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.