Binafsi nakushauri achana naye huyo make hawezi kubadilika.Watu wengi hujifariji kuwa mchumba atabadilika baadae kitu ambacho si kweli.Hicho ni kilio chako maisha yako yote.Hivi kama hujamuoa yuko hivyo akivaa gauni jeupe na pete ajue kakumiliki atakufanyia makubwa zaidi ya hayo.Kuacha kunauma...
Kweli kabisa.Kumlea mtoto ni gharama kubwa hata hiyo milioni ni ndogo sana.Cha kufanya watafute wazee wakaongee angalau wakupunguzie ila hakikisha unamchukua mwanao ili akue na wenzie na apate mahitaji yake ya msingi na upendo wa baba.Ila mwakikishie mtoto ulinzi pale atakapokuja kwako ili step...
Mimi naweza kumlaumu huyo mwanamke wa Jackson sababu angekuwa mke mwema angemshauri mpenzi wake na angefanya juu chini kuleta mabadikiko.Ndio maana Mungu akamuita msaidizi.Tunapoolewa tunakuta mambo mengi pengine yasiyopendeza lakini taratibu kwa ushauri na kumwonyesha mume wako upendo...
Yaani ukitaka kufanya ujinga mrudie huyo mshenzi.Anakupenda sababu kakuona una pesa.Alikudharau ulipokuwa huna kitu.Hana mapenzi ya dhati kwako.Kaja kiusanii.Utalia machozi ya damu atakapokuja kukuumiza tena hasa pale ukikosa kazi tena.Utatafuta shimo uingie hautalipata.Binafsi nakushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.