Ni kweli mkuu. Ila pia, kwao si kuna maeneo machafu pia.
Na pia, hii hii Tanzania kwani yote ni chaffu? Si kuna maeneo mengi tu masafi
Ila tunahitaji kulifanyia kazi hili swala la usafi kwa kweli
Chuki na dharau mkuu.
Tungekua tunaongelea issue za uchumi kama dollar, infrastructure, scarcity ya sukari, umeme hapo sawa. But tabia binafsi za watu halafu ana generalize sikuona kama ni sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.