SAMAHANI KAMA KUNA MABINTI WATAKAO KASIRIKA, ILA INABIDI TU NICHANGIE KWA HAYA NINAYOYAONA. KWA UFUPI NI KWAMBA DODOMA HAKUNA MABINTI WA KUOA. MKOA HUU UMEHARIBIWA NA WAHESHIMIWA, YAANI KUNA JAMAA YANGU MMOJA AMBAYE TUNAFANYA NAE KAZI,ALIWAHI KUNIELEZA WAKATI NIKIWA BADO MGENI KWAMBA NDUGU...
Gazeti la daily mail la marekani limeripoti leo hii. Kichwa cha habari,"imf boss dominique strauss kahn semen found on shirt of hotel maid accusing him of sex assault" na linatiririka kama ifuatavyo, 32 years old chambermaid told cops strauss kahn charged at her in the nude,tore at her clothes...
Ni kipaji cha kutongoza ndio kinachochukua nafasi. Unajua kuna watu wamejaaaliwa kutongoza bana, tena si kwa barua wala meseji tu. Bali hata kwenye simu babaaake. Kalaghabaho weye!
Body exercise and meal balance ni vitu muhimu, kuna mdingi anaishi jirani na hapa nilipo ana kama nyundo 60 hv, lkn kuna bar maid mmoja alijirengesha katupa mchapo kwamba yule mzee acha, alimfunga kama goli 5 hv na gemu akataka kuendelea. Binti wa watu akasema baaasi. Huyu mzee kaka kila asubuhi...
hakuna tatizo kuonyesha,mbona matukio mengine ya watu wa kawaida tunayaona? wacha tuwaone wenye imani za Kishirikina wakihudhuria. TBC MPOOOO? TUONYESHENI BANA!
HUWA INATOKEA IWAPO KITU KIMEENDA WINGA KWA MUDA MREFU BILA KUCHOMEKWA KUNAKO, NA KIKISHA CHOMEKWA MAUMIVU HUBAKIA KTK KENDE PAMOJA NA MTALIMBO baada ya tendo. USIRUHUSU MTALIMBO USIMAME KWA MUDA MREFU. NA IWAPO HUWA UNATUMIA MUDA MWINGI KUMUANDAA MWENZIO BASI WAKATI WA KUMUANDAA MWENZA...
wachimba mawe wadogowadogo wakiyakosa mererani kwa muda mrefu,hurudi mtaaani kwa spidi ya nyati,kukaba kupora,na hata kuua. NA SUALA HILI SI GENI KWA POLISI, Na wengine hudiriki kushirikiana na polisi ktk kufanikisha hili. mkoa huo unahitaji mabadiliko ya kiuongozi ktk jeshi la polisi na ktk...
Me? 33yrs man. Jamaa akijaribu kumuuliza huyu dada anakuwa mkali. Hapo mwanzo alihisi amekeketwa lakini baada ya kumfanyia uchunguzi amegundua hapana. Na nilishawaeleza wana jf huyu best yangu si mgeni wa haya mambo ana umri wa miaka 35 na alitegemea huyu binti aje kuwa mkewe muda si mrefu,sasa...
Nina best yangu mmoja ameanza uhusiano na binti mmoja mrembo sana tuuu, na wana kama miezi 6 hv, kwa jinsi ninavyomfahamu huyu jamaa ana uzoefu mkubwa ktk maswala ya mahusiano na girlfriend zake wote wa kipindi kilichopita ambao ameachana nao, huwa hawachoki kumsifia kwamba anauwezo wa hali ya...
Vithaaaaaa ni vithaaa thuu muraaaaaa! Jamani wakurya si kabila la kuchezea,kwao kucharangana mapanga na kulengana mishale ni jambo la kawaida tu. Nafikiri mheshimiwa mbunge alilisahau hilo, morrri wa kimasai na mzuka wa kikurrrya hautofautiani sana. Vithaaa ni vithhaaaa thuuu murrrr -...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.