Wasalaamu dronedrake Intelligent businessman
Wanaume wametofautiana sana katika ulaji wa tunda. Wapo wa aina mbalimbali
Wapo wale ambao wakati kuandaa chakula tu mara wanajistukia mate yameshuka na hamu ya chakula inakata hapo hapo. Nini kinachosababisha....1. Kukaa mda mrefu bila kula...
Natumaini hamjambo wana jukwaa na mnaendelea vyema
Katika harakati za kimaisha kuna mambo mbalimbali ulipania kuyapata au kuyafanya ila baadae yakakushinda na ukaachana nalo kabisa ama ukapambana tu bila kukata tamaa lakini hola.
Yapo mambo mengi kama vile,
kupata ramani za kwenda abroad...
Maisha mengi tuliyonayo yalianza kama picha inayojengeka akilini. Hakuna mwanadamu asiyependa vitu vizuri.
Ushindani na matamanio ya mwanadamu yanazua mambo mengi. Pale unajaribu hili na lile ili kupata vizuri halafu ukavikosa ndipo akili inapoanza kuchanganyikiwa.
Zipo nyuzi nyingi za...
Hivi karibu kuna nyuzi nyingi za watu kukata tamaa na kutaka kujiua, kuacha au kuachika katika mahusiano ya me na ke, biashara kugoma, kukosa kazi ya kufanya, kuchukiwa na ndugu jamaa na marafiki n.k
Ewe mwanadamu mwenzagu hukuzaliwa kwa bahati mbaya ndani ya ulimwengu huu. Huenda unapitia...
Katika maisha kila mtu anapenda starehe za hapa na pale mfano kutalii n.k
Kuna starehe zinazoweza kukupa furaha ya kudumu lakini kuna nyinginezo zinaweza kukupa sonona ya milele ambapo makovu hayaishi mapema.
Tuje kwetu sisi wanaume
Unamtafuta mwanamke kwa gharama zote mwisho wa siku...
Nimekaa nikatafakari kuwa usishindane na mtu au watu kwa namna yoyote ile. Watu wametofautiana kutokana na karama aliyotupa Mungu.
Kuna wenye akili nyingi za kugundua na kuunda vitu vinavyomvutia mwanadamu mwingine.
Nashangaa sana kuona mitambo na mikubwa, kv ndege, mashine za kwenye migodi...
Afya ya akili ni muhimu sana, kama akili haipo sawa na mambo mengine hayaendi
wapo wanaoteseka kwenye
๐๐๐ก๐ฎ๐ฌ๐ข๐๐ง๐จ,
๐ง๐๐จ๐,
๐ฎ๐๐ก๐ฎ๐ฆ๐ข,
Wezi,
wachawi,
magonjwa sugu,
ukatili wa kijinsia,
Dhuluma,
Rushwa,
na mengineyo
Karibu tupeane tina ya akili iitwayo psychotherapy.
Jaribu kujitibu mwenyewe ukiwa...
Kwako Intelligent businessman dronedrake
Ewe kijana hasa wa kiume kama unataka kufanikiwa katika maisha yako acha mambo yafuatayo;
Kamwe usifanye ngono zembe. Yaani hata kama umeoa fanya kwa ajili ya kuzaa watoto tu si kwa ajili ya starehe. Ngono hukausha mifupa, ngono huleta uvivu, ngono...
Kuna wakati mambo yanatokea unajiuliza mbona kwangu tu. Kumbe ulikua unaepushwa na majanga makubwa zaidi au utakuja kupata kitu kizuri chenye mafanikio zaidi. Yapo mambo mengi yanaweza kukupata ukafikiri huna thamani lakini baadaye ukashukuru akasema ee Mungu asante.
1. Ulishawahi enda...
Wasalaam dronedrake
Natafuta mwanamke wa kuoa;
Awe na umri kuanzia 18- 28
Awe mrefu, 5+ feet tall
Awe amehitimu form six na kuendelea
Awe anapenda kufanya kazi
Awe Mwafrika, au mzungu.
Njooni PM
Ahsante
Nilishatafakari kuwa hivi mataifa yote yanaweza kuwa na amani hata siku moja dunia nzima? jibu nililopata ni kuwa haiwezekani kitu kama hicho.
Mtu binafsi unaweza kukaa bila adui popote uendapo hata iwe kanisani?
Amani kitu kizuri katika maisha ya mwanadamu. Binadamu ana hofu nyingi maishani...
Ni asubuhi uamkapo kunako pambazuka aa Usiku kabla ya kulala ndio mda ambao mtu ubongo unapata nafasi ya kuwaza au kutafakari unayoyafanya na utakacho kifanya kesho yake.
Kuna wakati unaweza fanya mambo yako yakagoma kabisa au yakaenda ndivyo sivyo. Kila unalojaribu linagoma au haliendi jinsi...
MEN AND SEX
Believe it or not women find it difficult to understand the reason why men love sex.
If they want to help you, they will demand for sex.
If they say they love you, they want sex.
You mistakenly sleep over, they want sex.
They want to borrow money from you, they want sex.
They want...
Kutokana na mihangaiko ya maisha watu wengi hawana afya akili. Japo akili inaweza kutokuwa na afya kwa sababu ya madawa, pombe, magonjwa na kulogwa pia japokuwa watu wengine hawaamini katika uchawi.
Dalili zifuatazo zinaweza kukudhihirishia kuwa huwa huna afya ya akili.
Kutokuwa na furaha mda...
Wengi wetu ambao hatuna hela za kukidhi mahitaji yetu vuzuri kv. mavazi, mlo kamili, usafiri, kutembea sehemu za starehe, kutalii, kutembea nchi za nje huwa tuna misemo fulani hivi ya kukatisha tamaa.
Misemo hiyo ni kama ifuatavyo;
Unaweza kuwa na hela nyingi lakini ukawa huna furaha...
Wasaalamu,
dronedrake kiongozi wa Nyeto baba wa kataa ndoa ni utumwa. I, proton pump baba wa No Fap.
Nimechunguza nyuzi nyingi za hivi karibuni zinahusu maumivu ya mapenzi zikiwemo;
1. Vijana kulipa mahari halafu mwanamke anakuacha.
2. Watu wameoa mara mtoto x sio wa kwako
3. Upo kwenye...
Naandika haya hasa kwa wale ambao tumetoka familia ambazo hazieleweki na hazina kipato cha kueleweka. Ukiona haya mambo acha kuoa kabisa kwani utaendeleza umaskini kizazi hadi kizazi ( generational poverty).
1. Hakuna hata babu yako mmoja aliwahi kumiliki hela kipindi cha nyuma ama kwa kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.