We pokea taarifa. Acha mihemuko yako iwe asubuhi au jioni.ccm bana mmeguswa sehemu mbaya eeee. Pokeeni tu hizo sindano si mlizitaka wenyewe. Mnapinga matokeo wakati hata evidence hamnazo poleni sana. Na bado. Kwa taarifa yako wiki nzima hii na ijayo hukumu zinaendelea kutolewa. Kila kukicha ccm...
Katika hari ya taharuki kwa wanaccm na viunga vyake hapa mkoani iringa. Jana zile kesi walizo fungua, zimeaza kutolewa hukumu moja baada ya moja. Wenyeviti wa chadema wanaendelea kuibuka washindi katika pingamizi hizo. Poleni sana wana ccm. Jaribuni kukubari kuwa mlishindwa. Kuliko aibu hii...
we ritz.kaulize pikipiki za nyinyiemu zilizo kuwa zinakimbia mkoa kwa mkoa (Kampuni gani ilipewa zabuni na pikipik moja imewaghalimu kiasi gani na pes zimetoka wapi.) na baba yako amepewa kiasi gani km 10%.
Kama kawaida. Leo jioni kuanzia saa tisa, makamanda wa anga walitua mjini iringa wakiongozwa NA mboe, then lema, msigwa, n.k. Wamewahutubia wananchi na kuwataka siku ya j2 kujitokeza ukumbi wa siasa kusubilia na kulinda kula za kalenga.
Watu walikuwa wengi ajabu.kweli mungu yu pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.