Watanzania tuamke, tusipotoshwe na watu wenye nia mbaya na nchi yetu, mimi yule dada Esther Matiko nimemshudia akichangia na ameongea vitu vya msingi sana na kusoma vipengele vyenye mapungufu na kupendekeza nini kifanyike, inaonekana mtoa mada labda lugha ya kidhungu inamchenga kidogo kama...
Ccm can do anything illegal na kinyume na human right ili tu kutimaza matakwa yao.naamini kabisa kwa asilimia 120% kuwa wamebuni mbinu zote chafu.kama tu chaguzi ndogo za udiwani wanafanya udhalimu ije iwe ubunge?.mathalani uchaguzi wa diwani kata ya susuni wilayani tarime ambalo diwani wake...
chagonja ni kilaza,yaani IQ yake ni kama ya mtoto wa miaka 3,he is too mechanical ,no mental application ,he does not hv a sense of analysing matters,linakurupuka tu,na ndio maana usiku wa saa MANANE lilishiriki kuiba maiti za kaka zetu watz wasonahatia na kwa kutumia kodi za watz.na...
Teh teh, CCM inaufinyu wa kufikiri, yaani hawana think tank kabisa, walikaa wakaona hii ya kujivua gamba ndio babu kubwa kumbe wakasahau kufikiri uhalisia wa nyoka kujivua gamba huwa anamaana ya kuendeleza alokuwa akifanya kwa kasi zaidi, ari zaidi na nguvu ipo.So...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.