Duh kweli muhenga nimuhenga umeongea points moja matata sana wanataka kujifananisha Na akina jlo lil Kim wanashindwa kujua kama wenzao waliyapigania maisha kweli kweli ndio sababu wanaish watakavyo sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinyume cha jina la zitto kabwe hamkijui ngoja niwasaidie" tozi bweka. Kwahiyo anatimiza matashi ya jina lake msiumize kichwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahadi aliyo ahidiwa moja wapo nikuifanya Sahara media kuwa ya kimataifa" hilo limetimia maana sasaivi wanaonyesha BBC kila saa3 kamili usiku ijuma3 mpaka ijumaa ila mchana hakuna kitu maana niwakimataifa[emoji5] [emoji5] [emoji5]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kamoja nili kagegeda kama masihara nikastuka mkuyati wangu unahamishiwa tundu jirani nikakausha nilivyo maliza kaka shukuru kakasepa sasa nikajisemea Kimoyo moyo" haka sikanaimba mpaka kwaya hayo mambo kameyajulia wapi" sasa nakumbuka wakati nakafukuzia kalisumbua sana mpaka...
Amezidi kutuonyesha wanao chezea bwambwa lake nakama bwambwa lawopa lingekuwa luku saizi angekuwa anakaa Giza muhenga mkubwa huyu
Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.