ku host ni kuiweka website kwenye mtandao wa internet ili iweze kutembelewa na watu. Ili ku host website inahitaji uwe na mtoa huduma (web hosting provider) yeye ndiye anayekuwa na servers zinazo host websites
Refer tracking site FAQ's au contact support, lakini kabla hujafanya hivyo hakikisha unaingiza tracking number correctly, use copy and paste instead of typing it
nunua solar panel ya kama 100watts na battery ya 70watts (dry cell battery)
Ukifunga hiyo system inaweza fanya hizo kazi ingawa si kwa full time (about 3hours).
Kama unafikiria kutengeneza full time power system inahitaji panel kubwa zaidi na battery zaidi ya moja (such expensive cost)
Ni business ndio lakini pia kuna free full packs za ms word na html, kuna known issue kama una download kwenye mobile devices
Download kwenye computer kwa kutumia download manager itakubali
Kuna waliowahi kuota wako kwenye ndege wanenda ulaya na tayari ndege imeesha kutua, mara ghafla akkamshwa na jamaa yake, basi aliposhituka tu akkanzisha ugomvi akimlaumu yule alimwaamsha eti mi nilikuoa nishaaga maisha magumu ya bongo we unakuja kunishitua!
Si kama nakukatisha tamaa ila kwa bei ya soko ilivyo kuuza m20 hutaweza, cause gari ya aina hiyo hata ukiagiza japan gharama zote mpaka kuitoa bandarini bado haifiki hiyo 20
watajie wanunuzi bei muafaka pia weka picha nyingi mbalimbali mpaka za ndani
Ushuru kwa gari ya cc1990 na iliyokwishapita miaka kumi toka ilipotengenezwa (2002) ni sh mil6 mpaka kuitoa bandarini
Kuhusu ubora wake, sijui kiundani lakini kama ni mitsubishi ni gari nzuri ila zingatia nunua gari ambayo mileage iko chini ya laki moja
Kama jambo hulijui au halikuhusu acha wenye kujua waendelee. hata marekani zinakoanzia hizo fiber unazota tujue kuwa unazijua nako bado kuna VSAT ISP na kampuni mpya zinafunguliwa ila kukicha
Nina equipments mbili nilizokua nazitumia ku connect internet kupitia kampuni ya iway africa (Afsat communications)
Kwa sasa nimesitisha huduma na hivyo nauza hizo equipments kwa mtu au taasisi wanaohitaji satellite internet connection
Equipment hazina deni kwa ISP na kuhusu installation...
Soma IT nyumbani kwa muda unaopenda mwenyewe - Video training courses hizi hapa.
Jifunze kozi yoyote ya IT popote ulipo without need to attend daily classes!
alphonce.NET - IT video training site
Noted brother, nitaondoa kabisa kiswahili from language list. Hope 99.9% our users here knows english
Maoni nayaona cause napitia kila reply na naheshimu maoni na mawazo yao, lakini as you may know its not possible to do exactly what they say (hope you know what I mean by that)
Hapo inabidi u download kwa kutumia PC then convert mp4 to 3gp format halafu ndio uzipeleke kwenye simu yako
Unaweza kutumia "format factory" ku convert, its powerfull and free software
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.