Hauko sahihi hata kidogo Mkuu, mh.Mkuu wa Mkoa sio mtu mdogo na kumbuka raisi wa nchi hii amemuamini na hizi joking zako hazita kufikisha kokote,ukibaki huo Mkoa ur will enjoy mema ya nchi Kanisa.
All the best huko unakokeenda na mwache Mh.mkuu wa Mkoa aje kufanga kazi Ili alete maendeleo kwa...
Sikubali hicho kitu hata mara Moja,ni heri pawepo na mfumo wa kuajiri kama sasa wanavyo Fanya secretary ya ajira.Ukitaka Kila taasi kuajiri Kuna mambo mengi sana ndugu.
Kuna ndugu yangu ameoneka ana DAMU nyingi MWILINI na kusababisha kichwa kumuuma mara kwa mara Cha ajabu ameenda hospital amepewa ASPIRIN, sijajua uhusiano wa DAMU nyingi na hizo ASPIRIN.
Wataalumu wa kujua hii shida inasababishwa na Nini na dawa zake
Pole mkuu,kama walivyosema jamaa begginer wote wanaanza mazoezi mepesi then utaanza kwenda Long distance.Kama inauma sana nenda hospital ukapate ushauri wa Daktari
Kwasasa hivi hakuna non business na business Tin,Tin inakuwa moja isipokuwa,hiyo moja kama ulifungua Non business unaibadilisha inakuwa Business.Reg. ya Tin inatumia NIDA kwahiyo itagoma kwenye system hakuna Tin namba mbili kwa mtu mmoja.
Iko shida pande zote mbili kati yenu.Cha msingi tubuni na ni wapi mliko anguka wapendwa.Ni kweli kabisa inauma kupita maelezo ila Mungu wa mbinguni atawasaidia na mrudi ktk upendo ule wa kwanza,hadi jamaaa akachukua hatua ya kukuapproach kwa mwembwe zote.Tafuteni muda wa kuongea kwa kumaanisha...
Hivi Kuna MaDC wa Aina hii wapo hapa Tz na serikali yetu Pendwa,SADC inaisha lini jamani??
Maana tunatamani iishe ili twende Town tukale bata.
Hawa MaDC wakumbuke uchaguzi mwakani,na newly DC watakuja kwenye hizo nafasi.
Nahisi huyo mama kapiga hesabu za mwakani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.