Ilitokea nigeria jiji la lagos,,,jamaa mmoja alingonga gari ambalo lilikuwa limepark na mwenye nalo hakuwepo na kulikuwa hamna watu eneo hilo alichonikanya akacha namba yake ya simu then akaondoka
Mwenye gari alifurahi na akapost Twitter
Habarini wakuu kunasafari ambayo inabidi nisafari mapema mwanzo mwa mwaka ujao nadhani itakuwa kati kati ya mwezi januari ambayo ntatoka dsm kwenda kusin mkoani ruvuma ila Cjawahi safiri umbali huo ( 1000km),umbali mrefu nilioenda mwenyew ni km 300
Sasa napendaga sana kusafiri na kagari kangu...
Habarini wakuu,,Ni kwa mara ya kwana napost kwenye jukwaa ili sasa mada yangu sijui kama nmeileta sehem sahihi
Mimi ninakabiashara ya kampesa,,,kwahiyo kidogo ninakaufahamu kahusu mpesa,tigo pesa,airtel money na hata halopesa,,,direct to the question; kuna siku niliwahi kujiuliza tu yani ile...
Ni kati ya stori zinazotrend sana kwenye anga za kimataifa tutatizama kiufupi hapa
Raisi wa zamani wa georgia hon.Mikheil Saakashvili alikamatwa na polisi nchini Ukraine ambapo amekuwa akiishi humo miaka ya sasa
Bwana saakashvili anatuhumiwa kusaidia kikundi cha ugaidi nchini humo lakini...
Mohamed Gullam Dewji(42) ni mtanzania mwenzetu, ni kijana mjasiriamali, mfanyabiashara na ni CEO wa kampuni ya M.e.t.l group ambayo inajihusisha na uzalishaji na uuzaji wa bidhaa za vyakula mbali mbali, vinyaji, usafirishaji n.k
Nmependa kuandika hii habari kutoka na maswali mengi nikihulizwa...
Alafu inasemekana ngono inayofanywa kawaida ya dume la simba na jike la simba uchukua muda mfupi mpaka kumaliza yani ni chini ya dakika moja lakini kwa ngono iliyofanywa na simba hawa madume ilichukua zaidi ya dakika moja haijafahamika ni kwanini,,,,
A joke: mwambieni diamond abadili...
Battle ya magari kama unavideo za battle kama hizi tupia hapa tuone who is a king of road,,wengi tunajiulizaga mfano range Rover na land cruiser ipi bora? Sasa huu uzi ni special kwa kushindanisha magari mbali mbali kama unavideo za battle ruksa kiweka wakuu,,,
Mi naanza na hii,hii ilibase off...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.