Sipendi wanaokula hovyo hovyo wakati kuna vituo vya kula misosi, halafu wakati mwingine wanakula mamsosi ya gharama na hamna karibu kwa majirani zao. sijui huwa hawajui kama wengine mle kwenye mabasi hawana hata senti tano ya kununulia maji. wakiibiwa huwa wakwanza kulalamika wakati wenyewe...
Jamani mambo ya jeshi ni noma, ukienda una HIV, automatic unajiua mwenyewe kwani pamoja na kupima ila bado baada ya miezi mitatu ukiwa depo bado tena utarudia kupima na hapo shughuli ndiyo huwa pevu. Kama unaona unaonewa nenda hata mafunzo ya mgambo utaona cha moto.
Yawezekana pia unamakosa ya kutokuwa makini, kwani interview yako ya kwanza ndiyo hiyo ya kupigiwa simu na ulionyesha udhaifu wa kutokutambua makosa kwa uharaka na kumsahihisha aliyekupigia simu. Ila usikate tamaa riziki yako ipo tu yawezekana Mungu amekuepusha na inshu za ajabu.
Wanajf ni vizuri tukawa tunaelimishana pale tunapokosea na sio kupondana tu! Ila naimani kama jamaa angekuwa na uchu wa kazi asingeandika hivyo, yawezekana anamsaidia jamaa yake tu kutafuta kazi! Next time sidhani kama ataandika hivyo tena.
Vizuri kwa kuuliza wanajf. Nachofahamu ni kuwa nafasi za jeshi hutolewa kupitia mshauri wa mgambo katika ofisi ya kila mkuu wa wilaya. jaribu kufanya followup kwa sasa maana ndiyo kipindi chake kutoka japo nimesikia nafasi za JKT tayari zimetoka kupitia hao jamaa mshauri wa mgambo wa kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.