tunaangalia live on youtube askofu Gwajima anahubiri
nashangaa sana Askofu anahubiri kwa upole sana,kwa uangalifu sana,je Askofu ni mgonjwa???
nafikri Gwajima ana matatizo kutokana na uwezo wangu wa kuangalia mambo
na huko ccm alifata nini?alikuwa mwanaharakati wakati wa Dr Slaa
aliifata ccm ili...
serikali ya mabavu ya ccm walifanya big mistake kumtishia Gwaajima na kamati za bunge,wangekuwa weledi wangeunda kamati ya wataalam wa afya na kumuita Gwajima na kuzungumza tena live huku watanzania wote tukiona,sichanji wala sina mpango kabisa
wale wameokoka ni wafuasi wa Yesu Kristo na Gwajima ni mtumishi wa Yesu krissto,,,,,wana akili sana kwa sababu wamezaliwa upya sio kwa damu na nyama bali kwa roho mtakatifu,ni vigumu sana kuelewa
ukipita barabara ya Tunduma Nakonde kuelekea Lusaka utakutana na wachina waliojazana Zambia wakiishi kama raia wa kawaida
opposition walisema watashughulika na hawa watu walioletwa na serikali ya PF.
Africa tuna kazi sana kwa kweli
Mtumishi wa Bwana
Nataka ujuwe sipingani na wewe wala sipo kinyume na wewe, nataka nieleze mawazo yangu kuhusu somo lako la leo kuhusu kuchanjwa.
Leo umehubiri kuhusu chanjo kwamba waumini wako wasikubali kuchanjwa, napenda nikufungue macho kidogo uweze kuona,
Nilipozaliwa nikiwa mtoto...
Habari za kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Mbowe na watendaji wengine wa Chama huko Mwanza zinashangaza sana
Watanzania wanajiuliza Rais Samia anajaribu kuiga au kumuiga Magufuli?
Maswali yamekuwa mengi kwani hana leadership style ya kwake ya kufanya kazi?
Kwani zile ahadi alizotoa za...
Naomba kujua siri ya huyu mtu aliyekuwa mkuu wa Mkoa Tabora.
Mbona alikuwa tishio sana kutisha wananchi na kuongea hovyo lakini hashutumiwi kwa lolote?
Huyu ni mtu wa aina gani?
Lema: Acha kujipendekeza kwa kiwango cha kuumiza watu. Amri uliyopewa ya kucontrol Polisi na Bunduki, kuwa mstaarabu. Magufuli sio Mungu, haya unayofanya kuna siku you will pay. Acha mambo ya Kishamba, acha ulimbukeni. Acha kuumiza watu kwa Silaha, acha mambo ya kutekatwka watu kuchukua hela kwa...
hivi unaweza kupoteza muda wako kabisa unasoma kitabu cha huyu mzee??unapata faida gani humo ndani?kwa background ip?kwa legacy ipi?
kuna mwingine alikuwa anaitwa mkapa naye alitoa kitabu nasikia,mtanzania yupi??
Tumepenyezewa hiyo ni moja ya ajenda kujadiliwa, wanataka wakenya waishio tanzania kupewa passport za Tanzania ili iwe easy ku access sadc countries,huo ni ushenzi na upumbavu wa Wakenya, nashauri tusiruhusu ukaribu sana na hawa jamaa.
Ujinga mwingine huo, eti wakenya wapewe passport za Tanzania ili kuweza kusafiria nchi za SADC kirahisi.
Tukatae kwa nguvu zote na kama Rais wetu akikubaliana na huo ujinga tuhakikishe tunakataa kwa nia moja na kwa umoja.
Hiyo ni mojawapo ya ajenda zitakazojadiliwa na wafanyabiashara wa Kenya...
mwaka 1995 nilikosea nikapanda tawaqal mbeya dar,kwanza ile asubuhi pale stand aliletwa na teksi halafu wakambeba kutoka kwenye teksi mpaka kwenye usukani,kwa kweli sikufurahia safari manake huo mwendo ni Mungu anajua,tulifika Dar saa tisa mchana
Kuna rumors zinaendelea,Nape ana mpango wa kujiunga na Chadema,
naomba sana viongozi wangu wa chama mkae chini na kutafakari sio kila mtu ni wa kupokelewa kwenye chama
Nape na kundi lake,Makamba,Rizwan na wengine wamepiga hesabu zimekataa kabisa,nia na madhumuni yao ilikuwa waharibu legacy ya...
badala ya kutulia na kusikiliza muda wote mi kupiga meza,yaani makofi na kupiga meza inameza muda mwingi wa hotuba,african people!!wapumbavu sana kwa kweli,unafiki utatupeleka pabaya
Hii yote ni kwa sababu hatuna mfumo maalumu wa kuendesha nchi,rejea Asskofu Gwajima bungeni last week.
Waziri mkuu anajaribu kufata nyayo za boss wake wa zamani ili kuonyesha watanzania bado wanafanya kazi.
Sikatai ni jambo jema lakini bado tupo nyuma sana sana kama mambo yenyewe ndiyo haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.