Kusifia kuwa amefanya maendeleo huku mikono yake ikiwa ilijaa damu na dhruma ni ujinga wa kupitiliza .kusingizia unafanya maendeleo huku unavunja haki za binadamu ni upumbavu wa kupitiliza ..huyu mtu alikuwa katili mjivuni muongo .maisha hv yapo juu Sana yy Ana mchango mkubwa sana.maana ni Kama...
Ukiona mtu anamkumbuka dikteta jua nae alikuwa mtesi na alikuwa kwenye kundi la kutesa watu.ukweli Yule jamaa Bora Mungu aliingilia Kati alikuwa hafai alikuwa muongo tu
Haya ndio mazao ya uoga na siasa za Yule jamaa aliekuwa hajiamini ktk uongozi wake .ni gharama kubwa mbaya ametuachia Hilo zao la wamachinga ni bomu litkapo ripuka itakuwa balaaa
Toka lini kanisa hurithiwa na mtu .hii ndio shida ya haya makanisa ya mifukoni .kanisa ni la mungu sio la mtu sasa Joshua kafa watu kuulizana Nani atarithi kanisa huo ni ujinga mkubwa Kam kweli kanisa la tb Joshua lilikuwa la mungu Basi litadumu daima lkn km ni shetani Basi linaenda kufa soon.
Wanaomsifia gwaji ni watu wasio na akili Wala hekima .kumsifia huyu ni kuendeleza ukichaa mwingine uliopita huko siku za nyuma ..inashangaza tz tumekuwa watu Fulani wajinga hv kupenda kushabikia ujinga ni kuacha kuhagaikia mambo ya msingi kwa taifa na jamii..ukweli huyu gwaji ni bomu lingine kwa...
Watu kupotezwa bila kujua walipo ..kunyonga Uhuru na demekrasia .kufujuza wafanyakazi bila kuwalipa..nitamkumbuka kwa hayo jp up mengine.meeeeeeengiiiiiiii saaaaaaanaaaa
Kunyonga demekrasia .kutesa wapinzani kunynganya hela za watu kunynganya rambirambi za tetemeko.kutopandisha mishahara kuwafukuza wafanyakazi bila kosa kuwaweka maaskofu ndani kujifanya anampenda mungu kumbe sio.kutudanganya uchumi umekua kumbe sio nk nk nk.
Hata iddi amini anatajwa sna uganda kutajwa mtu sio kwamba ni kwa wema tu hata kwa ubaya anaweza tajwa Kila siku..ukweli nilikuwa naiona tz inaelekea shimoni kbs.siwezi sifia ujenzi wa barabara reli majumba nk wakti watu wanauawa wanapotezwa wanadhrumiwa wanawekwa magerezani.ukweli tulipotea ni...
Siku hizi neno uzalendo limekuwa kivuri Cha kuwaumizia watu tafsiri ya neno uzalendo ni maumivu kwa watawaliwa..eti unasema mzalendo kumbe unawazuga tu ili uwaumize noo hapana
Umoja ni nguvu km serikali imeshindwa he nguvu ya imma nayomimeshindwa.hv sisi watz Nani ameturooga Kila siku ni kulalamika tu tumekuwa waoga Sana .kutumia nguvu ya umma kwann tunashindwa..tuache ujinga
Hata ukienda ujerumani Kuna Mambo mazuri Sana hitlar aliyafanya uchumi wa ujerumani ulipaa Sana wakti wake lkn wajerumani hawawezi mkumbuka hitlar kwa mazuri wanamkumbuka kwa mabaya yake tu .hivyo ni vzr kutenda mema klk mabaya hili ni funzo kwetu
Masanja huyu no bonge la msanii ni kijana anaeingalia pesa ilipo tu.masanja kuwa na kanisa haya ni maajabu mengine .kweli watu kwass tumekosa maarifa ya utambuzi.
Suala la mtu kwenda kwao ni suala la kujivunia sasa mwandishi Kama kabila haliendi kwao wewe unawashwawashwa Nini na kabila la wenzako???eti ulienda kufanya uchunguzi umelipwa nini au Nani kakulipa.naona watz kwasasa hatuna kazi zd ya umbea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.