habari?
hivi kuna mtu amewahi fanya mitihani za utumishi anipe hints maswali yanavyokuwa?
kama kuna mtu kwenye hii list kachaguliwa naomba anipe hints kidogo za maswali.
Kwangu Mimi nikipata kiasi flani cha pesa naweza kuishi duniani bila kufanya kazi yoyote na nikamudu bills zote, mchanganuo ni kama ifuatavyo;
Familia ya baba, mama, watoto sita na ndungu wanne jumla watu 12. Kila mmoja atakula Milo mitatu.
5000*3*12=186,000/=. Kwa siku kwa ajili ya chakula...
1.they are too much hunger,don't get them pissed off.
2.they never show their pain or how depressed they are.
3.they are shy and can not maintain eye contact.
4.they are loyal and love most in relationships
5.they are Smart in everything they do.
6.they are talkative arround the right...
Habari nimepata wazo la uwekezaji.
Nimewaza hivi, nikiwa na eneo kubwa lililokandokando ya makazi ya watu halafu nikatafuta wataalamu wa ujenzi wakafanya usanifu wa shimo kubwa sana la kutunzia uchafu wa chooni .
Kitu cha pili natakiwa kununua gari la kunyonya uchafu kwenye septic tank...
Habari za usiku ndugu zangu naomba kufahamishwa kwa mtu yeyote mwenye uelewa juu ya uwekezaji katika taasisi ya serikari UTT. Hizi bond fund na liquid/ukwasi zinatofautiana vipi ukiwekeza huko hela yako?
Na hatifungani za benkii kuu na hizi za UTT zipi ni nzuri zaidi?
Najua mambo kadhaa ikiwemo ;
1. Wanapenda amani na utulivu.
2.Si wepesi wa kuchukia, ila ukiwatibua ni hatari zaidi ya simba.
3.Wanapenda sana kunyanduana.
4.Wanafanya kazi kwa bidii sanaa.
5.Hawapendi kufokewafokewa.
6.Ni greater thinkers.
Unaweza kuongezea na wewe.
Habari za usiku ndugu zangu,
Nimekuwa nikichanganya vitu hivi viwili. mfano tanzania inataka kununua ndege marekani inatakiwa ibadili Tsh kwenda usd ili iweze kufanakisha internation trade si lazima ibadili tshs kupitia OTC network au Interbank market au kuna njia nyingine hutumia...
habari za usiku na swali naomba wanauchumi na forex trades munijibu.
Hivi, supply na demand , ni quantity of goods or services au ni number of people?
mfano, mama lishe akipika chakula say wali na maharage kilo 20, then wateja wakaja wakanunua nusu ya kile chakula na nusu kikabaki, ni...
Unapomsaidia mtu pasipo kutarijia feedback yoyote kutoka kwake ni uncondioned love/agape love, mfano unapomsomesha mchumba wako bila kutarajia kuwa baadae utamuoa, Endapo ataleta pingamizi.
Unapomsaidia mtu kwa kutarajia kwamba atakuripaa baadae hiyo ni conditioned love.
Sasa kuna watu kwenye...
1. UZINZI MATAWI YA JUU, mfano munatoka Tanzania mnapanda ndege munaenda China kufanyia uzinzi, au mnafanyia uzinzi kenywe hotel za 5 stars dau linakuwa kubwa kidogo kama 400,000/= kwa siku
2. UZINZI MATAWI YA KATI, mfano mnaenda kufanyia uzinzi kwenye lodge,gest za dau dogo kuanzia tsh 5000...
Nyege kwa mwanamke huwa inakuwa juu sanaa wiki mbili baada ya kutoka mwezini yaani homoni ya ESTROGEN inakuwa iko juu sanaa hadi pale siku za hatari zitakapoishaa sasa huu ni muda wa kunyanduana mpaka basi, kwani mihemo ya mwili wa mwanamke inakuwa iko juu sanaa kupelekea kuwa na hali moja na...
Wanasaikologia ni kweli wanandoa au wapenzi, wakifanya mapenzi sehemu za hadhi ya chini, kama vile msituni, shimoni, chini ya vibanda vya wazi, beach sehemu ya uwazi, vichochoroni, kwenye dari, n.k mwanamke au mwanaume ni ngumu sana kuyasahau hayo mazingira hadi uzeeni kulinganisha na...
nilisoma diploma ya uhandisi ujenzi muda kidogo
sasa baada ya kumaliza na maisha kunichapa, nilijikuta nimeingia katika maswala ya uchimbaji wa dhahabu maporini katavi
huko nilifanikiwa kujifunza nje ndani kuhusu madini ya dhabau sema kule tulikuwa tunachimba locally sio kama wasomi...
Wale mungu aliwowabariki wameweka 3D epoxy materials kwenye nyumba zao, unakuta lounge kubwa, rangi ndani nzuri, nyumba ndefu, bodi inang'aa taa za kwenye bodi unakuta wameweka zile nyeupe zina umbo kama sahani approxmetely 50cm diammeter zina mwaga murua, sofa kubwa za ngozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.