kaka lakini unasahau kua kuadd value kunahitaji mtaji mkubwa ... ukizingatia kwa sie ambao tunaanza biashara tukiwa na mtaji mdogo.. unatushauri vipi.. tuache tusubiri tukiwa na mtaji wa kutosha kuadd value kwnye hzo biashara zetu..? mimi pia ni mmoja wa wanaofikiria kuanzisha biashra ya kuuza...
kama ulikua kichwani kwangu ndugu.. pia nina shida kama yako ila mie nabase sana kwenye biashara ya kuuza nafaka.. kama kuna mtu mwenye uzoefu wa hizo biashara atusaidie.. much thank to y'all..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.