Salaam wanaJF,
Leo mida ya asubuhi nimekuwepo central kufuatilia namna ya kumdhamini mfanyakazi mwenzangu aliekamatwa Kwa kesi ya madai.
Sasa nimepeleka barua ya kumdhamini toka Kwa Afisa mtendaji.
Kilichofuata hapo nikaanza kuzungushwa ili mradi nitoe fedha jamaa angu aachiwe wakati dhamana...
Kichwa cha habari chahusika
Kikukweli walinzi wa pale Geti kuu la kuingia hospital ya Bugando wanakera mno hata kama wanafuata taratibu zilizowekwa na hospital
Kimsingi hospital ni sehemu ya kupeana faraja sasa linapokuja suala la kukaguana ovyo ovyo kana kwamba mtu amebeba madawa ya kulevya...
Wakuu dakika 5 zilizopita ,kuna tetemeko dogo la ardhi limepita mjini Kati mwanza hapa
Ghorofa nliyopo limetetemeka kiaiana na wafanyakazi kuingiwa na hofu
Sijui ndugu zetu Bukoba wamepona manake ukiona tetemeko mwanza basi jua limetokea Bukoba
Tujuzane wana BK mpo salamaa au mwafwaaaa
Huwa najiuliza inakuaje mkuu JPM tangu aingie madarakani rafiki zake ni maraisi wenye skendo mbovu katika nchi zao,karibu viongozi wote wakuu wa nchi waliotembelea bongo wanaskendo mbovu katika nchi zao
1.Kagame ana skendo ya kuminya demokrasia na Uhuru Kwa wapinzani nchini kwake
2.Mfalme wa...
Salaam wana JF,
Siku kadhaa nyuma niliona taarifa kwamba serikali ipo mbioni kutangaza ajira 15 elfu za dharura ili kujaza upungufu wa watumishi waliotumbuliwa kwa vyeti feki cha ajabu hadi sasa hakuna taarifa nyingine au zile zilikua sound tu za serikali kama kawaida yao.
Tujuzane!
NB...
Hivi nyie kina dada wa mjini tena maeneo ya uswazi hii tabia mtaacha lini,
mkioneshwa kupendwa mnaleta mapozi utadhani mnatoka mboga Saba.
Simu hampigi hadi mpigiwe na mkipigiwa mnaanza kueleza shida zenu lukuki je usingepigiwa hizo shida ungeeleza saa ngapi.
Kuna haka kasichana kangu yani...
Mada tajwa yahusika,
Siku hizi kumekua na mtindo wa watu kubadili dini na kufuata zile za wapenzi wao ili hatimaye wafunge ndoa. Siku za nyuma tuliona wanawake ndio hubadili dini na kufuata dini za wapenzi wao. Ila siku hizi wanaume nao hubadili dini na kuwafuata wachumba ( wake zao) wao,Je...
Salaam wanaJf
Jamani msaada ,mwenzenu Jana nlikula bia nyingi Sana na kucheza bakulutu hadi alfajiri
Sasa hapa nlipo naandamwa na makengelee masikioni yani sisikiii fresh
Si mnajua yale makengelee yanayosikika masikioni baada ya kunywa dozi ya malaria hasa Krorokwini
Sasa anaejua dawa ya...
Ni jambo la aibu Sana Kwa barabara inayoelekea kwenye makao makuu ya wilaya na manispaa ya Ilemela Buswelu Kuwa mbaya kiasi hiki
Hasa hapa maeneo ya shule ya msingi Gedeli yani ni mashimo tupu tena makubwa
Je viongozi wa manispaa hamuyaoni Haya mashimo
Hata kama mmeanza kutengeneza hii...
Mada tajwa yahusika
Leo nlikua na miadi na baby wangu yule wa kunipunguza uzito na yeye mwenyewe aliniambi ukitoka Job nishtue
Nlipotoka job nkamwambia natangulia ghetto akasema poa mi najiandaa
Kabla sijafika home msg inaingia ,"Sweet nna shida ya elfu 30 nikopee AF mi ntakurudishia mpnz"...
Mada tajwa yahusika
Nlikua naskia skia Tu ukipenda kugegeda kila Siku unakonda na kupungua uzito
Hii theory nimeamini sasa baada ya kupungua uzito kama kilo 3 hivi
Nimefululiza kumgegeda mchepuko wangu Kwa takribani wiki 2 goli za kutosha
Ila juzi nimepima uzito nimepungua toka kilo 70 hadi 67...
Wakuu salaam
Ni kwamba nina rafiki angu ambae nlisoma nae leo asubuhi kanipigia simu na kuniomba ushauri kwangu na hata Kwa wadau wengine wa huku Jf
Rafiki angu huyu ana mwanamke wake ambae amezaa nae mtoto mmoja Ila now wanaishi mbalimbali japo ni mikoa ya jirani Sana
Mama mtoto wa huyu jamaa...
Wakuu salaam,
Naandika Uzi huu Kwa uchungu na hasira baada ya kuachiwa mida hii kutoka selo Central.
Ni hivi, mimi napiga mishe zangu tu sio muajiriwa wa serikali wala nini.. Sasa jana mida ya saa 9 kasoro nikaona niingie bar flani hapa Mjini Mwanza nipate moja moto moja baridi.
Ile naagiza...
Wakuu salama
Jamanii mwenzenu nna miezi kadhaa sasa sijasikia kesi za watu kubakwa
Si kwenye TV,Radio,mtaani au gazeti
Je ni kwamba watu wameokoka au bwana Pombe Magu kawanyoosha hadi wabakaji na sasa wanasoma namba
Najiuliza Tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.