KUMBE WPTE MNAOCHAPANA HUMU NI CHADEMA TU!!!!!!!!<BR>NIMEGUNDUA TATIZO NI MWAKA 2013 UWENYEKITI WA CHAMA AMBAPO WENGI WANAHISI ZITTO ATAGOMBEA NA FUNUNU ZA CHINI ZINADAI SLAA ATAGOMBEA, WAKATI HUOHUO MBOWE AKITAKA AENDELEEE KUWA MWENYEKITI.<BR> 2015 SLAA ANATAKIWA AWE MGOMBEA URAIS, WAKATI...
Mbowe ndiye tatizo kwa cdm, mnaona jamaa anavyowamaliza wanaompinga, eti kisa anataka aendelee kufanya biashara ndani ya cdm, mnakumbuka magari yake analazimisha atuuzie, anawaondoa wote wanaomkosoa, anawatumia watu tu, wakishamfanikisha anawatupa kama cond..m,huyu jamaa hafai nasikia anataka...
Hata wakati zitto anaandamwa na mbowe na wajinga fulani humo, tuliambiwa huwa haitwi kwenye vikao halali vya watendaji wa chama, badala yake wanakaa slaa na watu wake vipenzi.
Hata sasa shibuda hakuitwa kisa mbowe anaogopa shibuda akipewa nafasi ya kuonekana kwa watanzania, atamfunika na...
mimi ningependa kuchangia hoja hii ya huyu dogo ila mumeiharibu kwa kuanzisha mada yenu ya ki-ccm, hebu turudi tuone uhalali wa polisi kufanya vitendo vya aina hii kila kona ya nchi.
tutazame uwezo wa serikali kuchukua hatua dhidi ya wattumishi wake kama polisi kufanya kinyume cha sheria
lema acha ujinga wako unachafua chama, yaani unakili kuzuia maiti wasizikwe mpuuzi sana wewe pia uhusiano wako na udom utakumaliza kisiasa, fanyia wapiga kura wako kazi za maendeleo, mbowe wala slaa hawawezi kumkemea kwami wanataka apotee wao wakidhani wanampandisha.
hapo sasa unamaana gani eti wazo liwe la kichama sawa!!! ila habari za mgawanyiko kwa wale wasio kuwa tayari hilo ni upofu wa akili yako, au ww ni mmoja wao? bila shaka ww ni wa viti maalum uliyepta kwa kugawa tu.....na ndio tutawajua wanafiki hapa
acha upotoshaji wa kijinga wewe, nani kakwambia cdm haina uwezo huo wa kusambaza ruzuku nchi nzima na hii ndiyo hoja mfu ya kijinga anayoweza kuleta mbowe baadae ili apate nafasi ya kuzitumia hizo posho za watu. yaani usanii wa kijinga mwaka huu hauna nafasi kabisa...cdm inapata millions ngapi...
naomba ujue kuwa ww ni mnafiki sana, mbona huyo slaa alipiga mikelele tu na hakukataa kupokea hiyo hela na sasa analipwa hela posho kama ile aliyoipinga bungeni?
mm namsifu zitto, kwani amejua cdm hasa mbowe ana tamaa ya kufidisha pesa zake alizotumia kwenye uchaguzi na kuwalipa watu aliowaita...
jamaa vitabu vyake viko safi kwa sababu haandiki yeye, ni watu wenye uwezo huo ndio wanafanya hivyo anawalipa mipesa...kwa upande wa vitabu viko kamili ila hata yeye ukimwambia ajibu kilichoandkwa utacheka.
sio hao wa ccm tu, hata wa cdm nao wapo nawajua wamejisikia hovyo sna ila wanaona aibu tu mzeee, wanalo mwaka huu.
mahesabu yao yote ya kuezka kwa vigae kwa viposho yamezimwa mwaaaaaaaa, zitto kawapa mtihani mzee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.