Nahitaji saa za mkononi kama tano nataka kujua brand ipi ni nzuri na safe, Pia naomba nijue saa hizo zinaweza kuwa na GPS ila zisiwe smart watch, Je nta sychronous vipi majira ili saa zote ziende kwa pamoja kuanzia sekunde,dakika n.k , Zikiwa non rechargeable itakuwa vizuri pia ziwe waterproof...
Nikola Tesla anasema Energy ni kitu kinachopaswa kupatikana Dunia na kuwa transferred wireless anauunda mnara mkubwa huko New york kwa ajili ya kufeed electrical energy maeneo mbalimbali bila wire Wafadhili wake JP Morgan wanagomea kum fund aendelee na Project hii ila mpaka leo haijawah...
Wakuu nimeangalia hotuba kadhaa anasoma mkuu Rais huwa anatumia makaratasi na Kutumia muda mwingi akiinama technology imechange kwa sasa kuna kifaa kinatumika kinaitwa Teleprompter ni kifaa kinachomfanya mtu ahutubie au asome kitu bila kupoteza attention ya kuwatazama Audience yaani hadhira...
Wapi kwa nchini panatolewa mafunzo ya Kulinda watu special au Muhimu yani VIP Protection Training Je hawa Public figure wetu kama Bakhersa, Mo dewji, na Wengineo walio na impact kubwa na Jamii security detail yao ikoje je inatoka Serikalini au ni Private company? Mfano Bill Gate serikali ya...
Mwaka wa NNE huu upo Dar es salaam (Mjini). Huna ajira nyingine zaidi ya kuhudhuria semina za akina Erick shigongo (Motivation Speakers)
'How to be a rich' (Zimekupumbaza). Huna hata TOYO ya kuchora. (Huna mafanikio) Mentors wako wanazidi kufanikiwa (Wewe unafilisika kila siku)
My brother,my...
Wakuu nina mini laptop inatunza sana chaji awali ilikuwa inacharge fresh now ukichomeka inaonesha simu iko connected ila asilimia haisogei badala yake ina discharge, Wakuu msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.