Search results

  1. J

    Hawakuwahi kujua kama LISSU ni mtu anayependwa na Watanzania kwa kiwango kikubwa hivi!

    Hii ni ishara nyingne inayoonyesha kuwa watu wamechoshwa na maigizo ya serikali iliyowakataza wapinzani wake kufanya siasa za kitaifa hadharani badala yake viongozi wa chama tawala tu, mwenezi/polepole, mwenyekt uvccm, na mwenyekit wao mkuu wanakula keki yote kisha wanajinasibu kuwa watanzania...
  2. J

    Maisha yakiwa hivi hadi 2020 Rais Magufuli atawasimulia watu habari ya bombadia?

    Ni wazi kuwa maisha kwa sasa si mazuri, cdm wanajua hilo, ccm wanajua hilo, wafanyakazi wanajua hilo, wafanyabiashara wanajua hilo, na wakulima na wafugaji wanajua hilo. (naskia wakulima wa kirosho pekee ndo wenye heri kwa sasa chini ya umahiri wa waziri mkuu aliyeamua personally kulivalia...
  3. J

    Kama huwezi kupambana naye yakupasa uungane naye

    Kwa sababu imedhihirika wazi kuwa uwezo wa mtukufu na taasisi zake kupambana na nguli wakili msomi Lissu ni mdogo mno hasa baada ya maagizo ya mtukufu ya kutaka kumthibiti lissu kutofanikiwa mara kadhaa, nashauri sasa iwe muda mwafaka kwa mh rais kumwita ikulu mh. Tundu Lissu ili akampatie...
  4. J

    Tanzania ya viwanda, viwanda vya kesi na mahabusu

    Tunashinda tukikimbizana na watz wenzetu, furaha yetu ni wakilala vituo vya polisi masaa 48, kisa tu wamehoji au kupinga jambo fulani, iko wapi tofauti ya wakoloni na watawala wetu? Uzalendo umebadilishwa tafsiri na kuwa uoga au kuunga mkono kila jambo bila kuhoji! Ni taifa gani hili...
  5. J

    Hivi ni siasa au ni weledi mdogo wa Jeshi la Polisi na wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama?

    Nimesikia kwa mara ya kwanza baada ya ajali ya basi la watoto wa lucky vicent kuwa sasa magari yanayobeba watoto yatakuwa yanakaguliwa haswaa! Hilo lilikuwa agizo la bwana Gambo. Leo tena nimeskia morogoro nako juhudi hizohizo zinafanyika! Tatizo ni nini haswa? Ni siasa ya ulimbukeni wa...
  6. J

    Barua ya wazi kwa Mh. Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

    Pole kwa majukumu ya utumishi wa umma. Mh. Naomba utupie macho yako hapa: panakera sana! Kuna hii taasisi inaitwa Pharmacy Council of Tanzania. Hatuelewi umakini wa utendaji kazi wake ukoje, ni utata mtupu! Can you imagine watu walimaliza chuo mwaka 2015 hadi leo hawajapata usajili na hivyo...
Back
Top Bottom