Mkuu BLESSED.....yaan hii hal unayoiface ni 97% similar to what i'm facing right now.Tofauti hapo itakua ni majina na location 2 mengine yote ni exactly the same!!!!!! Sio siri nlivyokua naisoma nikawa najiambia kimoyomoyo Huyu jamaa ananisema mimi au.....Yaan nimeumia sana lakin naungana kbsa...
daaaah we acha tu!hata mimi nashindwa kuelewa cjui ndo ishakula kwetu,mi nilifanya ya FINANCE OFFICER 2....please kama kuna mwenye info atujuze tusiendelee kukaa tunajipa matumaini kumbe watu washaanza kazi kitambo.
vyeti vipo cha msingi kwenda kuvifatilia tu shule uliomalizia,mi cha kwangu nimeenda kukichukua leo hakuna mlolongo wowote dk 5 tuuu. nilimaliza 2001.:smile:
...sasa kuna baadhi ya hawa waendesha bodaboda unakuta anapaki mahala penye mkusanyiko..au karibu na nyumba ya watu huku sauti ya mchiriku,taarab,bolingo,mahubiri,n.k kaifungulia hadi mwishooo!!!!!!!halafu yeye hana hata habari anaona sawa tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.