Search results

  1. mjombakaka

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    baba jeni byebye wa bantu group chini ya Hamza Kalala
  2. mjombakaka

    Mke wangu hanipi haki ya tendo la ndoa, kila siku amechoka

    ndo uchovu kila siku jaman? kuna mahala atakua anashiba uyo mkuu
  3. mjombakaka

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    fm academia_rangi ya chungwa perfomed live
  4. mjombakaka

    Natafuta mwalimu wa dodoma kubadilishana naye kituo cha kazi mimi nipo kasulu.

    Please kama kuna mwalimu wa dodoma anayehitaji tubadilishane kituo cha kazi tuwasiliane kwa namba hii 0713-345352 mimi nipo kasulu kigoma.
  5. mjombakaka

    Majina ajira za Ualimu 2014 haya hapa

    ukiyapata na ya certificates utuwekee pia mkuu....thank you 4 your help MKUU:poa
  6. mjombakaka

    Vyuo vya Private ni Wabovu kwenye Masuala ya Uhasibu

    una mawazo finyuu sana ndugu!halaf jaribu kutofautisha "ILLUSIONS ZAKO KICHWANI" na utafiti:A S 114:
  7. mjombakaka

    Kukosa ajira kumenikosesha kuwa na mwanamke nimpendaye

    asante broo..hilo ndo la msingi.
  8. mjombakaka

    Kukosa ajira kumenikosesha kuwa na mwanamke nimpendaye

    Mkuu BLESSED.....yaan hii hal unayoiface ni 97% similar to what i'm facing right now.Tofauti hapo itakua ni majina na location 2 mengine yote ni exactly the same!!!!!! Sio siri nlivyokua naisoma nikawa najiambia kimoyomoyo Huyu jamaa ananisema mimi au.....Yaan nimeumia sana lakin naungana kbsa...
  9. mjombakaka

    Wabunge wagomea posho ya laki 3, wasema ni ndogo

    wanaotaka posho iongezwe na 'WAPIGWEE TU'...:evil:
  10. mjombakaka

    PICHA: Ajali mbaya mlima Sekenke - Lori la Mafuta lateketeza wanne kwa moto!

    mmmmh...wapumzike kwa amani,Mungu awarehemu.
  11. mjombakaka

    Lapf wamefikia wapi majibu yetu ya written interview pale duce wadau???

    Ni kuhusu zile post za COMPLIANCE OFFICERS tulizofanyaga 7th december 2013....yoyote mwenye update please!
  12. mjombakaka

    Makubwa haya: Qatar's accidental vagina stadium is most gratifying

    hahahahahah huo utajaza wa2 weng sana
  13. mjombakaka

    kuitwa interview

    thank u mdau kwa info
  14. mjombakaka

    waliofanya interview ya LAPF pale duce

    mkuu GIUSSEPE kumbe nawe ulikuepo pale duce...nice to note that mkuu
  15. mjombakaka

    Pspf

    it's very 2ru mkuu morale imeshuka now aah:confused2:
  16. mjombakaka

    Pspf

    daaaah we acha tu!hata mimi nashindwa kuelewa cjui ndo ishakula kwetu,mi nilifanya ya FINANCE OFFICER 2....please kama kuna mwenye info atujuze tusiendelee kukaa tunajipa matumaini kumbe watu washaanza kazi kitambo.
  17. mjombakaka

    PCCB na vyeti vya darasa la saba

    vyeti vipo cha msingi kwenda kuvifatilia tu shule uliomalizia,mi cha kwangu nimeenda kukichukua leo hakuna mlolongo wowote dk 5 tuuu. nilimaliza 2001.:smile:
  18. mjombakaka

    Finance au Accountant anahitajika kwa ajiri ya Field au temporal work

    daaaah....kwahiyo wakaka ndo kusema hatutakiwi hapo jamani???
  19. mjombakaka

    Tabia za Kitanzania zinazonikera...

    ...sasa kuna baadhi ya hawa waendesha bodaboda unakuta anapaki mahala penye mkusanyiko..au karibu na nyumba ya watu huku sauti ya mchiriku,taarab,bolingo,mahubiri,n.k kaifungulia hadi mwishooo!!!!!!!halafu yeye hana hata habari anaona sawa tuu
  20. mjombakaka

    Msaada tanroads-lindi

    yes.....KIJANA MGUMU zile za kibaha niliziona asee,na nimeshazifanyia utaratibu.
Back
Top Bottom