Habari wakuu,mimi ni graduate wa ualimu kutoka chuo kikuu cha Dodoma mwaka 2016. Nina uwezo mzuri sana wa kufanya kazi ya aina yoyote ile ukiachana na ualimu.Kama uko Musoma na unahitaji Mtu wa kumuajiri naomba unisaidie.Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.