Search results

  1. Mtini

    Guede anafunga magoli magumu sana

    Huyu jamaa inawezekana akaja kuwa mbadala wa mayele, tumpe muda, magoli anayofunga si ya kwaida kabisa.
  2. Mtini

    Benchika kocha jina, muda utaongea

    Jamaa wako down sana
  3. Mtini

    Benchika kocha jina, muda utaongea

    jamaa ana kismat
  4. Mtini

    Benchika kocha jina, muda utaongea

    Ukilinganisha takwimu za kocha objective na huyu Benchika za mr objective ni nzuri kuliko za huyu. Najua mtakuja na mapovu ila muda utaongea
  5. Mtini

    Mtabiri nchini Libya aitabiria Simba kuingia nusu fainali

    Mmeanza kutegemea wapiga ramli
  6. Mtini

    Simba walitaka kumsajii Pacome ila waliogopa Chama atanuna

    Taarifa hizi ni kwa mujibu wa kipindi cha michezo cha global TV kinachoitwa kross dongo. Inasemekana jina lake lilikuwepo kwenye orodha ya wachezaji waliopendekezwa na scout ya simba mwishoni mwa msimu uliopita. wameenda mbali zaidi na kusema Pa Omary na Fredy sio mapendekezo ya scout ya simba...
  7. Mtini

    Naiona Simba ikiangusha point nyingine dhidi ya Coastal hapo kesho

    Kumbuka coast yuko nafasi ya nne, nae anafukuzia kucheza kimataifa msimu ujao
  8. Mtini

    Naiona Simba ikiangusha point nyingine dhidi ya Coastal hapo kesho

    Kwa moto ambao Azam walipelekewa na Coastal Union, Simba akicheza kifadha kama anavyochezaga naona akiangusha alama nyingine hapo kesho. Na hii ndio itakuwa rasmi "BYE BYE BABA JANE" katika mbio za ubingwa
  9. Mtini

    FT: Azam 1-1 Coastal Union

    LIMERUDI
  10. Mtini

    FT: Simba SC 1-2 Tanzania Prisons | NBC Premier League | Jamhuri Stadium | 06.03.2024

    UKICHAA NI NINI? UKICHAA NI KUAMINI PRISON WANAEZA KUSHIKILIA BOMBA
  11. Mtini

    FT: Simba SC 1-2 Tanzania Prisons | NBC Premier League | Jamhuri Stadium | 06.03.2024

    NAONA UZI UMEFUFUKA, MLIKUWA WAPI WANDEWA?
  12. Mtini

    Gamond: Yanga nayoitaka bado kidogo

    Huyu jamaa anaitakia nini kolouzidad?
Back
Top Bottom