Kumbe hata wao wanazamia Duuh!!!
RAIA wa AfriKa Kusini, Menolaos Tsampos, (61), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo kujibu mashtaka ya kutishia kwa mtandao, kuishi nchini kwa muda wa miaka minne bila kibali na kutumia paspoti yenye visa ya kugushi.
Mshtakiwa huyo ambaye...
August 9, 2017 kulikuwa na headline kutoka Mwanza ambazo zilieleza taarifa za mke wa Mwenyekiti wa Mtaa wa Majengo Mapya uliopo Kata ya Mabatini, Mwanza kudaiwa kupigwa risasi na Askari Polisi na kumjeruhi.
Sasa leo Majeruhi huyo Bi. Editha Lucasambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya...
Bomoabomoa Mpanda ni Vilio Tupu, Mamia ya Nyumba Zabomolewa Wakazi wa maeneo ya Tambukareli, Mpanda Hotel na Msasani, wamejikuta katika sintofahamu baada ya Shirika la reli Mkoa wa Katavi kuwataka kubomoa nyumba zao baada ya kuvamia reli na mali zake.
Zoezi hilo ambalo limezikumba kaya...
Jamaa wawili walikuwa wanakunywa pombe huku wakiongea na mazungumzo yao yalikuwa hivi;
Jamaa1: Unajua mzee wangu ni Polisi?
Jamaa 2: Weee kweli!? Hata mimi mzee wangu ni Polisi!
Jamaa 1: John is my last name.
Jamaa 2: (Akashangaa): Wow! Hata mimi My surname ni John!.
Jamaa 1: I'm 19 years...
Kuna dada mmoja nje ya nchi ambaye anataka kuja hadi hapa Sikonge ili nimtungishe mimba na hatimaye azae mtoto. Huyu mdada ni mtu ambaye ninafahamiana naye kwa miaka mingi kidogo tangu nikiishi nje ya nchi ambapo siku hizo, hakuwa au nilikuwa sijajua kama ni msagaji.
Anasema yupo tayari...
MIMI na mke wangu tuliingia katika vita baridi. Kila siku alikuwa akinilalamikia tu, ooh mara nina kibamia, mara simfikishi basi ilikuwa ni vurugu mwanzo mwisho. Kusema kweli amani ilitoweka nyumbani.
Ili kujaribu kutibu maradhi yangu, niliamua kuwa mteja mzuri wa supu ya pweza… nilimeza supu...
Naomba Msaada tutani wana JF, kuna hiki kichwa cha habari cha Moja ya magazeti yetu kisemacho "Uhalifu umepungua nchini, ubakaji umeongezeka!" Hivi ubakaji si uhalifu?.
=============================================
Dar es Salaam.
Jeshi la Polisi limesema hali sasa ni shwari kwa kuwa vitendo...
Muuguzi anayefanya kazi Kituo cha Afya Kata ya Igurubi Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Damian Mgaya (26) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma ya kumbaka binti wa miaka 18 mkazi wa kitongoji cha Mwagala B, Kijiji cha Mwagala.
Mtendaji wa Kata ya Igurubi, Ntemi James alisema uhalifu huo umefanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.