Maombi sio mpaka aende kwa wachungaji, inapendeza akitenga muda wake binafsi na kutulia uweponi mwa Mungu maana kwa wale Wakristo wanajua kabisa kuwa tunahimizwa kuomba na sio kuombewa. Omben nanyi mtapewa, ombeni lolote kwa jina langu nanyi mtapokea....na mistari mingine mingi. So asiende kwa...
Ndoto ni kiashirio cha yale yanayotendeka ktk ulimwengu wa roho. Kuota unafanya ngono kwa namna yoyote ile ni kuwa una spiritual agent anaecontrol sexuality yako. Mambo hayo yanaimpact kubwa ktk maisha yetu ya rohoni, mwilini na pia mahusiano yetu ktk jamii huathirika vibaya kwa njia moja au...
Baada ya mpenz niliempenda sana kunisaliti nilijikuta nimedevelop kitu ambacho kwa sasa naona sio kizuri though i used to enjoy it! Yaani, I lyk to hurt men, to break their hearts! I allow them to fall in love with me then b4 anything happen, akiomba penzi tu.. i do just dump them! Nataka...
Kuna mahali nilisoma kuwa kuna sindano huwa zinadungwa za hormone hvo husababisha upevushaji wa mayai mawili kwa wakati mmoja. Pia kipande hcho kilisema wanawake wenye miaka zaid ya 35 hubahatika kupata pacha hata km ukoo wao hauna vinasaba vya pacha. All in all omba Mungu kwa neema zake atakupa.
Last week nilitoka mkoa ninaoishi nikaenda dar na kwa bahati nzuri nilikutana na mtu alienipa namba ya rafiki yangu wa kike tulisoma wote O- level na bahati mbaya tulipotezana baada ya mimi kuhama ile shule tukiwa kidato cha 3.
Nilimpigia simu na alinielekeza ofisini kwake nikamfuata na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.