Inashangaza saana nyie wanaccm mlivyo na chuki na Mh.Mbowe, Mmekataa kufanyika uchunguzi wa kimataifa ili tujue ni nani alimshamblia Mh.Lisu, wapi alipo Ben Saanane ? Leo mnakuja na ushetani mpya. Mlaaniwe nyie na vizazi vyenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zimbabwe wamebaki na chama kimoja na maendeleo tunayaona, tupambane ibaki hiyo ccm tutapata unafuu kama zimbabwe ni mawazo ya kiccm.!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aibu kubwa saana kwa hawa watawala, kila siku za ibada utawaona kwenye nyumba za ibada lakini wanatabia za kishetani. Elice Elly,
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia kuna wengine wanafurahia wapinzani wakiumizwa, utawasikia wakisema Mh.Lisu alijipiga risasi, Ben Saanane alijiteka nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.