Wana Mafia kweli mmeamka
kwanza mna access to internet japo inaonekana hamko wengi
lakini wachache mliopo naona mnaitumia JF effectively
kwa hili nawapa hongera sana
Topical inamaana hajauona huu mtego?
mwanzisha mada hana lolote
atakae taka kuchangia ajue kuwa atadaiwa data za ku back up arguments. Mwenyewe keshasema huu si mjadala wa vyama vya siasa
so I dont expect much kwani topiki kama hizi si saizi ya intelligence za wana JF (wa siku hizi)
Tumepata taarifa kuwa Smz imekataa misaada ya Vodacom, na tunaambiwa ofisi za Vodacom znz ziko mashakani
Inaonekana kampeni ya kuisusia Voda imeshika moto, Mahmoud Thabit Kombo ndiye anayetumiwa na Vodacom kujaribu kuwaombea msamaha huko serikalini.
Vodacom wameahidi kutoa zaidi lakini taarifa...
Naam
sasa nchapata sababu ya kuanza kuwapenda CHADEMA. Naomb CCM msinisute kila mmoja anapenda chama na sababu zake
haya ndio mambo tunayotaka sie....kilichobaki ni freeman kuftarisha tuu bas!
watu wa Kariakoo wametukanwa, Wabunge nao wametukanwa, waswahili wa kariakoo tumejibu...sasa tunaonekana tuko sensitive!
we react differently to offence na wote hatuwezi tukawa na mawazo sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.