Kuna abiria wanaosafiri kutoka Nyamisati kwenda Mafia wamekwama bandarini tangu Jumatatu hadi leo wakisubiri usafiri na hakuna sababu za msingi zinazotolewa, watu wanaambiwa wasubiri.
Sasa wasubiri hadi lini na mazingira ya kule ninyi mnayajua? Watu wana watoto wachanga kule, wahusika mko wapi...
Hatuwezi tukawa tunafanya mizaha katika maswala haya kila Mtanzania mwenyesifa ya kuitumikia nchi yake katika nafasi mbalimbali provided amefata taratibu basi naaitumikie nchi sio mizahamizaha hii halafu tunatazama tuu
Kwanini mamlaka za juu zisiingilie swala hili?kwani haiwezekani au hawana taarifa?
Nawaliohusika wote wachukuliwe hatua kali kwa mujibu wa sheria hii ni nchi yetu sote
Mtaishia hivihivi, subiri ikitokea nyingine ukafanye tena halafu uje tena na mawazo ya hamuziwi kufaulu wote....ukiulizwa huo ufaulu unaanzia ngapi unaweza kujibu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.