Tumia akili.
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.
Safari zingine unatokea mkoani kikazi (mfano Musoma/Rukwa), unarudi zako Dar es Salaam.
Unatoka Musoma/Rukwa saa kumi usiku, unafika Dar 11 alfajiri au kesho yake kabisa
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.
Safari zingine unatokea mkoani kikazi (mfano Musoma/Rukwa), unarudi zako Dar es Salaam.
Unatoka Musoma/Rukwa saa kumi usiku, unafika Dar 11 alfajiri au kesho yake kabisa.
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.
Safari zingine unatokea mkoani kikazi (mfano Musoma/Rukwa), unarudi zako Dar es Salaam.
Unatoka Musoma/Rukwa saa kumi usiku, unafika Dar 11 alfajiri au kesho yake kabisa.
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.
Safari zingine unatokea mkoani kikazi (mfano Musoma/Rukwa), unarudi zako Dar es Salaam.
Unatoka Musoma/Rukwa saa kumi usiku, unafika Dar 11 alfajiri au kesho yake kabisa
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.
Safari zingine unatokea mkoani kikazi (mfano Musoma/Rukwa), unarudi zako Dar es Salaam.
Unatoka Musoma/Rukwa saa kumi usiku, unafika Dar 11 alfajiri au kesho yake kabisa
Wewe ni ndina!
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.
Safari zingine unatokea mkoani kikazi (mfano Musoma/Rukwa), unarudi zako Dar es Salaam.
Unatoka Musoma/Rukwa saa kumi usiku, unafika Dar 11 alfajiri au kesho yake kabisa
After investing in two solid years on hustling/investment, officially CCNP Engineer I'm back to social media platforms.
Wale waliokua wananikebehi kaeni mkao wa kula.
BIG announcement coming soon. Stay tuned.
Naam Naam... Form one ukifika unakutana na wenzio waliongoza mkoa/wilaya walizotoka.
Wote vichwa. Mimi niliongozaga mkoa wa Shinyanga. Mshikaji nilikua nashindana nae alikua wa pili kimkoa, akaenda Kibaha.
Tuliendeleza ligi watu wakawa wanasubiri NECTA ya form four waone nani atamkimbiza mwenzie.
Last week nilikua napitia matokeo ya madogo wa form six kwa Special Schools (Mzumbe, Tabora Boys, Kibaha na Ilboru) lengo ni kuhesabu One za Tatu yaani ni za kutafuta kwa tochi... Nimeambulia kuona moja tu ya dogo wa Mzumbe alokua T.O (dogo mwenyewe PCB, sijui PCM siku hizi wamerogwa na nani)...
Asante.
Umenikumbusha wakati naingia CoET nakuta darasani nasoma na majitu yamepata Division One za 8 huko wakati watu tumekomaa kumamake tumetoka na One za 3 kali kinoma.
Unataka ushauriwe mara ngapi ndugu???
Tumia akili ya kawaida tu, PCB karibu wote Tanzania huwa ndoto yao kusoma MD (tena ya MUHAS).
Sasa hebu imagine PCB walipata Points 3 (kuanzia dogo T.O alietokea Mzumbe), uje wenye points 4, 5 za kumwaga, 6, 7 wote wachaguliwe waishe... Unategemea huyo wa...
PCCB course mpya hii...
Kama ulimaanisha PCB basi size yake ni UDOM (Chuo cha Kata) tu, asijisumbue kuomba MUHAS
Ni kama vile PCM mwenye point 9 kuomba Petroleum ya CoET pale, atakua anatwanga maji kwenye kinu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.