Ni mara ya pili sasa inanitokea ninapoomba huduma ya kopa salio naambiwa sijakidhi vigezo na sipewi mkopo, lakini cha kushangaza nikiweka vocha nakatwa fedha ambayo sikupewa, piga customer service sasa kama wanapatikana.
Huu sio uungwana kabisa!!! Ni wizi wa mchana peupe
Waungwana habari za uhuru/usafi day, kutokana na network zisizoeleweka nimekuwa nikidownload videos kutoka youtube kwa ajili ya kuziangalia ninapopata muda. Nimejaribu kuzitafuta kwenye simu sijazipata lakini ukienda youtube unazikuta na zinastream vizuri tu hata kama net ni dhaifu sana sasa...
Wadau naombeni msaada nina simu yangu hapa HTC nimeagiza Marekani ilikua inatumia mtandao wa verizon. Simu hii wameifunga haiwezi kufanya teethering ya usb wala kutengeneza wifi hotspot wakati mimi nahitaji sana hizi huduma nifanyeje?
Nb: Vitu vingine vyote viko poa kabisa.
Kwa wale wenye hamu ya kumiliki OPO aka "never settle" aka flagship killer naona wamefungua dirisha la kuagiza bila invitation version ya 64gb kwa dolari 349 tu na dirisha la kuagiza litafunguliwa tar 27/10 saa 6-7 mchana kwa saa za afrika mashariki
Ila hawasafirishi kuleta huku kwa hiyo...
Wanasema bongo flava ni kama Big G ukisikiliza miezi mitatu tu utamu kwisha, lakini naamini kwamba kuna bongo flava ambazo kiukweli haziishi hamu kusikiliza.
Nia ya kuanzisha thread hii ni kuwaomba wadau tutupie nyimbo ambazo tunaona ni everlasting ili niweze kuzikusanya pamoja na kuzitupia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.