#HABARI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene amemuelekeza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Juma Mkomi kusimamisha mishahara ya viongozi walioshindwa kuwasimamia watumishi wao kujisajili na kujaza mipango kazi yao katika Mfumo...
Nauza gari yangu kali sana used like new,alteza cc 1990 haina kipengele hata kimoja unawasha unaenda mkoa wowote.bie naanzia 5.5mil maongezi kidogo yapo.gari ipo sinza vatican .
0752649984
Naingia Mtwara jioni hii kwa ziara ya kikazi siku tatu naomba kujuzwa lodge nzuri gharama isizidi 35,000 pia sehemu nzuri ya kupata bia mbili tatu ,kamziki katamu na wadada wazuri ambao sio wachoyo na hawana roho mbaya.
Wadau Nimempoteza Mama yangu mzazi alfajiri ya leo katika hospitali ya Bombo Tanga. Mazishi yatakuwa kesho saa saba mchana wilaya Muheza kijiji cha Kwemsala.
Kwa walio mkoa wa Tanga maeneo ya karibu nitafurahi sana tukiungana pamoja msibani kunipa moyo katika kipindi hiki kigumu sana sana...
Tangu jana mpaka muda huu kisiwa Zanzibar kuna uhaba mkubwa wa nishati ya mafuta
Shughuli za uzalishaji wa bidhaa zinazotegemea nishati hiyo zimesimama kwa muda
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari Aina ya BMW X5 inauzwa a gari ipo kwenye Hali nzuri ,inatumiwa na Mwanamke ,inauzwa kwa kuwa haitumiki Sana hivyo kukaa bila kutumika inaweza ikasababisha matatizo madogodogo .Bei ni milioni 23 tu maongezi yapo.
Kwa waliokuwepo seriously waje PM tuyajenge.
Hellow wana jamvi nina shida ya dharura ambayo nimeona nije humu ili niweze kupata mkopo wa shilingi 300,000 niweze kuitatua na nitarudisha mwisho wa mwezi kwa riba ya shilingi 50,000 zaidi .mimi ni mtumishi wa umma kwenye taasisi moja wapo ya serikali hapa mjini Dar es salaam .kwa aliyetayari...
Namshukuru Mungu leo tar 9/5 nimetimiza miaka 33 kamili wengi wamepotea kabla hawajafika huku na walikua na ndoto nyingi,wote ambao tumefika huku tukiwa na afya njema tuungane kumshukuru Mungu .Pia furaha yangu kubwa nimetimiza kigezo anachokitaka inna morata kwani ndio ilikua kigezo pekee...
Naomba msaada kwa anayefahamu wataalamu wazuri wa kuchimba visima wawe na kampuni inayoeleweka.site ni Dar es salaam -Magomeni.
Njoo pm au weka namba nitakupigia
Habarini za muda huu, niende moja kwa moja kwenye mada. Nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu bila kupata jibu hivi mtu anaposema mimi anamaanisha nini.
Je ni mwili wake wote
Hisia zake
Ufahamu wake
Roho yake
Lakini mbona katika hayo yote manne kwenye kujimilikisha hutumia neno vyangu, yani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.