Naomba hospitali ya rufaa ya mkoa wa PWANI ya TUMBI ikemewe na kuwajibishwa vikali kwa upotoshaji huo wa hatari utakaosababisha rais wetu avunjiwe heshima. Waziri wa afya nenda Tumbi ukahakiki hilo!
Unapokuwa na hotuba ndefu zenye vitu vizito basi ni vizuri uwe na kipaji cha kuwavutia watu kuendelea kukusikiliza ili walau mengi ya yale unayopanga kuwasilisha yafike.
Hapo kuna PWEZA hao wenye midomo mirefu wanaitwa VIDAU huyo mwenye madoadoa anaitwa CHEWA hao waliochanganywa hapo kuna MKUNDAJI na NG'AMBANGUMU hao wawili juu waitwa PONO nahao wawili wa chini siyo Tuna bali ni BAKEM
Kwa jinsi hali inavyo kwenda naona sasa Wachawi mnataka kutwaa Madaraka ya uongozi kwa Nguvu. Na kwakuwa hamja kemewa, mnaweza kutoa maagizo mengine mkazuia watu Kuoa, kucheka, kwenda makazini, kufanya ibada na mengine mengi maana mmeanza kunogewa kutoa matamko yenu.
Yani unadaiwa mkopo na Benki, wanakamata nyumba ili uizwe kufidia deni. Unajitetea eti hiyo nyumba anakaa pia mama yako ambaye ni mgonjwa, na ndani kuna mazindiko ya ukoo wenu hivyo watapata tabu sana mkiipiga nyumba mnada. Halafu mke wako anajitokeza na kusema mume wangu katoa hoja nzito...
Mwisho nasikia kuna Wanasheria wamekuja huko Afrika kusini wakitokea Tanganyika. Kama mlivyo shikilia Ndege hata hao pia washikilieni tuu wasirudi huku itapendeza. Hao ndio wanao tubambikia sisi raia wema Kesi za Bandia ili tuteswe magerezani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.