WANAJAMVI ASSALAMUALAIKUM
Kwa ufupi mimi ni raia mwema ambae napenda kujifunza kila kitu lakini pia ni mtu wa simu janja na huku bush wananiaminia kwamba siwezi shindwa.
Sasa leo nimeletewa kishkwambi mwalimu amebadilisha pattern na amesahau nimejaribu
1. Power up bottom 10 sec imegoma.
2...
LICHA YA KUWA NA UDHAMINI MZURI WA BENKI YA NBC NA WADHAMINI WENGINE.
Lakini mbona bado hatuipati radha halisi ya mpira hususa ni kwa hizi timu zetu ambazo tunategemea zifanye mapinduzi
Nini kifanyike wadau ?
Ukiachilia mbali nyimbo nyingi za maombolezo katika kipindi cha misiba pia nyimbo za faraja na kujenga tumaini jipya ambazo umezisikiliza.
Embu jaribu na hii ya DIZASTA VINA - MWANAJUA ALAFU UTUPE MREJESHO
Mi ni muhitimu wa kada ualimu.
Nimemaliza chuo mwaka 2019 nipo tuu mtaani.
Napatikana mkoani nimeona kuna fursa ya kuweka games hapa tunapoishi, nipo tayari kuwa mwanafunzi wa hii kitu na ikiwezekana mwisho wa hii wiki ninaweza kufanya safari ya Dar.
Kama kuna mtaalamu wa hivi vitu nipatie...
Nimenunua flash disc 32 gb nimeweka game
Cha ajabu ni kwamba kila nilihitaji kucheza hizo game hazisomi nikienda kwenye zile file nayaona nikiselect inasema "This isn't Efl"
Ni ipi solution ya hii error
Kuna wakati huwa ni muumini mkubwa wa mchezo wa bao la kete kuna kuwa na vimaneno vya kufundisha pia na kufurahisha pia kufikilisha
Mfano
TUNZA MACHOZI YAKO KWANI HATA FURAHA INAYAITAJI
(hapo mtu kashafungwa mabao matatu na linaloendelea pia amebanwa)
Toa nawewe msemo wako uliowahi kuuskia au...
Nimesikia kuhusu fixed account za nmb hivi ni kwamba ukisha jaza izo fomu pesa inaondoka kwenye account au itabakia humo na hauta weza kuifanyia matumizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.