Mmmh punguzeni roho mbaya, duniani tunapita tena kwa mda mfupi sana , Mali zote utaziacha hapahapa hutaenda nazo popote ILA ukisaidia maskini unajiwekea hazina isiyooza.
Hapana mpendwa ila dada angetumia jinsi yoyote ila si kumuonesha kaburi,mimi nilifiwa na baba yangu wakati naingia mwaka wa kwanza chuo kikuu, najua jinsi inavyouma yan unatamani mda wote ukakeshe kaburini kwa baba aiseeh! Yan ukiona mtu anapiga simu kwa baba unatamani nawe wako angekuepo. So...
Hii comment imenitoa chozi mno,sawa baba amefanya kosa ila kwa kumuonyesha mtoto kaburi akidhani ni mpendwa baba yake amelala pale kumbe si kweli ni ukatili (samahani kama nitakwaza mtu)
Kwa kule kusema Tz tuna unique culture ya kimasai!!?? Akakariri tena labda majibu labda. Miss Tz ni lazima awe upstairs vizuri,mwacheni mtt wa Kino mmasai wetu apumue sasa[emoji57]
Labda mie sina bandama lakini huyo pilipili hajawahi nichekesha wallahi wala huyo idrisa...tv1 nowdays inaboa hawasikilizi hata ushauri mfano hizo tamthiliya zimeshachosha,bora kujiangalizia movies za laptop huo muda
Ni kwamba one wrong cannot justify the other...adhabu ilikua kubwa coz emotion ya mwalimu ilikua juu...ila haihitaji kuwa na degree ya saikolojia kuona utukutu WA huyo dent...mara aseme eti 'walimu wakaniuliza tuwafanyeje sasa Mie nikawajibu sijui nyie adhavu mnazopeana walimu'...hivi inaingia...
Najaribu kuwaza adhabu watakayopewa walimu tarajali hawa ikawa chanzo cha walimu wengine 'kuufyata' natafakari PIA na elimu za hizi shule zetu za umma hali itakavyokua. Naungana nawe mkuu,busara itumike badala ya jazba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.