Ni kweli asilimia kubwa ya wanaume wamezaliwa na uwezo wa kufanya mapenzi
Tatizo kubwa ambalo naona linawasumbua watu wengi ni kukosa hisia na sio kutokuwa na uwezo
Tatizo lilianzia pale ambapo tulijiona tunawahi kufika mwisho kabla ya wapenzi wetu jambo ambalo lilitufanya tuombe ushauri Kwa...
Wale ambao mshakuwa single Maza poleni sana Sina Cha kuwaambia zaidi ya kuwakumbusha kwamba maji yakishamwagika hayawezi kuzoleka Tena
Enyi mabinti
Usibebe mimba wakati upo kwenye mgogoro na mwenza wako..jiepushe kadri iwezekanavyo
Usibebe mimba wakati ushajua mwenzio anakuhisia vibaya kwamba...
Habarini
Leo nimekaa nikitafakari sana juu ya mambo ya muda kidogo yaliyopita juu ya safari ya mapenzi
Miaka ya nyuma lilikua ni jambo la kawaida kuwa na mahusiano na mtu ambaye hujawahi kumuona lakini ukawa na upendo naye sawa na unaishia naye jirani.
Nakumbuka wakat fb,bbm,na Whatsapp...
Habarini na poleni na majukumu
Uzi huu nimeandika kutokana na mada mbalimbali nilizokutana nazo zinazohusu mahusiano ya kindoa juu ya single mothers
Kwanza kabisa inabidi nitoe sababu chache za kwanini mwanamke anakuwa single mother.
1. Baba mtoto kukataa mimba au mtoto. Kiukweli hakuna jambo...
Habarini
Nitatumia lugha nyepesi Ili Kila mwenye uhitaji aweze kufaidika
Kumekuwepo na matatizo mengi yanayoripotiwa na wamiliki wa hizi TV za kisasa hasa kwenye upande wa kioo ama kutowaka kabisa.
Naomba niende kwenye chanzo kikuu.
Chanzo kikuu kinachoharibu hizi TV ni uwepo wa umeme usio...
Habari zenu vijana (Mimi pia ni kijana)
Kama upo ndani ya huo umri nilioutaja hapo juu nnaomba unisikilize Kwa makini hasa wale ambao wanajiona Bado ni wadogo.
Sasa ivi wewe kijana upo katika umri wa kujijenga kiuchumi wewe pamoja na familia iliyopo kiunoni mwako
Leo hii wewe tunakuita kijana...
Hapa nazungumzia hiki kizazi ambacho Kwa sasa ni vijana na wamezaliwa Miaka ya 90.
Hawa vijana kiukweli wanakera sana Kwa matendo yao japo Wana mazuri lakini mazuri yao sio mengi kama mabaya yao
Yafuatayo ndio yanayotukela kutoka Kwa hiki kizazi.
1. Wengi wao ni wavivu
Inashangaza sana kuona...
Habari zenu
Sio Kwa ubaya ila napenda kuwaomba vijana wa Miaka ya tisini muondoke hapa duniani maana tumewachoka. Kila jambo baya nyinyi ndo wakwanza kulifanya
Hiki kizazi kimekithili umalaya na kimedhamiria haswaaa kueneza umalaya duniani kote..nyinyi vijana tunaomba mtupishe duniani sio...
Habarin wakuu
Ngoja niende kwenye mada moja kwa moja.
Watu wengi tunatamani Sana kufanikiwa kimaisha Ila Kuna Jambo lipo nyuma ya pazia ambalo hilo ndio kikwazo cha watu wengi kuishia kulalamika maisha ni magumu.
Kwa miaka mingi tumekua tukihubiriwa kuhusu kufanya kazi kwa bidii, kutunza...
habarn wakuu
Katika maisha suala la kufanikiwa (kuwa na maendeleo) huwa lina mambo mengi sana, kuna wakati unaweza kupata pesa nyingi Ila linapokuja suala la kuwekeza ili pesa ijizalishe au kuwa na vitu fulani huwa kuna changamoto zake jambo linalopelekea kuendelea kuishi maisha yale yale
Nije...
habarn wandugu
Ngoja niende kwenye mada direct
Kumekua na KAZI nyingi zinatangazwa Sana mitandaoni na nyingi zinakua no nje ya nchi, kutokana na uhaba was ajira pamoja na ukosefu was hela watu wengi wamekua wakihamasika na matangazo yanayotolewa mitandaoni
Matapeli wengi wanatumia makampuni...
Unapata Mtoto Mzuri, mrembo ana elimu yake nzuri, anajiheshimu, ana kazi nzuri na pesa anazo. Wewe hutaki unataka tako! kama sio bangi ni nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]
Habarn wandugu
Guyz ngoja niende Moja kwa Moja kwenye mada
Nimeona wanaume wengi wanaumizwa na mapenzi even me, tunaumizwa kwa kujua au kwa kutokujua Kama tunaumizwa
Hawa wanawake saiv sio Kama wale wa zaman so unapokua na mwanamke tafadhari Sana kuwa makin, naomba nitilie mkazo hapa WANAUME...
Habarn wandugu
Naona kuanzia wiki iliyopita watu wamekua wakiwasakama Sana wanaume wa dar kisa Hawa vijana wetu kutoka KINONDONI
Kwanza kabisa naomba niwatoe hofu wakaz wa dar,. Kipolisi hakuna wilaya ya kinondon Bali Kuna mkoa wa KINONDONI😁😁😁😁.
Ukiaply matrix ya kawaida, chukua zile wilaya...
Habarin wandugu
Leo nmeona nijibu maswali machache ambayo yaliulizwa kwenye thread yang ya Jana na nitaelezea Mambo mengine machache kidogo
Namna ambavyo kazi inavopatikana
Kuna njia nyingi ambazo mtu anaweza akazifuata mpaka akaweza kuajiliwa kwenye meli
Hapa naelezea njia niliyoitumia...
habar zen wandugu
Leo ningependa kushare nanyi juu ya haya maisha
Baharia ninayemzungumzia hapa ni Yule anayefanya kazi kwenye meli
Kufanya kazi kwenye meli Kuna changamototo nyingi Kwanza zinaanzi namna ya kupata kazi pia kazi yenyew huwa inachangamoto kidogo
Nakumbuka first time nilipata...
Habarin wanna jamvi
Ngoja niende kwenye mada moja kwa moja
Kila mwanaume anaumizwa na mapenzi ila tunatofautiana ukubwa wa maumivu. Maumivu hayo tunaweza kusema ni ubatizo wa Moto yaani hautokei Mara kwa Mara na ukiona unaumizwa kila mara ujue una kasoro.
Kuna wanawake ni wajanja na werevu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.