Habarini wapendwa, naombeni msaada wenu, kipindi cha nyuma mimi niliwahi kusumbuliwa na tatizo la umeng'enyaji chakula, nilikuwa najisaidia choo kigumu sana, nikaambiwa na doctor kuwa nina tatizo kwenye mfumo wa umeng'enyaji chakula, chakula hakimeng'enywi inavyotakiwa, nikapewa dawa tatizo hilo...
Nisiwachoshe, mimi ni mwathirika wa ukimwi, niligundua muda tu, sasa kutokana na zile post za yule jamaa kwamba dawa ndio zinaenda kukimaliza nikamfata yeye, sijawahi kutumia ARV, nikawa tu najitahidi kula vizuri.
Nilihakikisha nakula milo mingi zaid na matunda na maji mengi, bwana wee hapa...
A. alaykum, za leo ndugu zangu?
Naombeni msaada wenu, mimi nataka nifunge Android redio kwenye gari pamoja na zile Tv za nyuma ya siti lakini nashindwa kujua kampuni ipi ni bora na ipi ni fake, nimejaribu kwenda kariakoo nimepita kuuliza zinacheza kwenye laki na nusu hadi laki na 80.
Nikija...
A.alaykum wakuu, ninaomba msaada wenu jamani kwani ninapitia magumu sana, niende moja kwa moja kwenye mada
.
Kama mwezi mmoja umepita kuna siku nilienda haja kubwa, wakati najikamua nikapata maumivu kama nimechanika na kweli kinyesi kikatoka na damu kidogo... Nilirudi nyumbani kujichunguza...
Habarini wapendwa, Nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye mada, je gari ukiwa unaweka full tank na sio ya mafuta ya buku kumi kumi inapunguza ulaji wa mafuta?
Yaani kuna mtu kanishauri gari yangu niwe naweka full tank siku ikikaribia kuisha najaza tena eti nisiwe naweka ya buku kumikumi...
Habarini wapendwa,
Naombeni msaada,
Ni takribani miezi miwili sasa nasikia maumivu katikati ya kifua changu, yaani sehemu ambapo mbavu za pande mbili zinapokutana sjui ni nini hasa, inanitokea nikiwa nainama au nimejikunja au nikiwa nanyanyuka wakati mwingine nikiwa nimekaa tuu inatokea...
Habarini za jioni wapendwa,
Mmoja kwa moja bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada.
Naomba mwenye uelewa kuhusu TOYOTA BREVIS yenye cc 2490 aniambie inakulaje mafuta?
Yaani nataka kujua lita moja ya mafuta inaenda km ngapi?
Ahsanteni wapenzi
Habari wanajamvi,
Nimetokea kuipenda sana gari toyota IST. Kilichonifanya niipende ni ulaji wake wa mafuta, haina gharama kwenye mafuta. Sasa swali langu je mtu akiamua kusafiri na IST kutoka DAR kwenda Mwanza atatoboa?
Nisaidieni please. Kama kuna mwenye ushauri pia niambieni
Mwenzenu kuna kitu kinaniuma lakini sijui ni nini, leo ni weak ya pili sasa, yaani kifuani katikati ya mapafu nasikia kama kichomi flani hivi.
Sijawahi kupata tatizo hilo tangu nizaliwe. Sasa juzi nipo ofisini nimekaa gafla kikaanza, kilianza kwa kasi kilikuwa kimenikamata haswaa, ikabidi...
Habari wanajamvi wenzangu,
Nimepatwa na matatizo kidogo naomba msaada wenu wa haraka sana. Week kama moja iliopita nilikuwa na ugomvi na mtu ikapelekea nikamtukana sana na pia nilimwambia maneno ambayo akitumia sheria atanifunga.
Sasa huyo mama kaenda police kafungua kesi, nikaitwa sikwenda...
Wakuu kwanza samahanini kwa kuwasumbua, Pili. Lengo la uzi huu ni kuomba ushauri wenu kwa kilichonipata. Nitaenda kuwahadithia kwa kifupi sana
.
Mimi ni kijana wa kiislamu, naishi Dar, mwezi mmoja uliopita au mwezi na nusu nilidhulumiwa pesa tsh 2.7M ( million 2 na laki 7 ) sikwambii maumivu...
Habari zenu wanajamvi, naimani mko poa sana, kwa ambao hamko poa nawaombea kwa mungu awasaidie mrejee katika hali zenu.... Bila kupoteza muda niende kwenye swali langu la msingi, kama ukibahatika kumiliki bastola kihalali na uwe na vibali vyote inajulikana kuwa ni kosa kuiweka hadharani...
Habari za sikukuu wapendwa, Sorry Mbona me nashindwa kubadilisha email??? Naenda pale kwenye update email naweka email ya zamani. Naweka na mpya ila nikiupdate inakataa. Hainipi jibu lolote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.