Nchi zinazosafirisha mafuta kwa wingi duniani OPEC zilitangaza mnamo mwaka 2020 hatua ya kupunguza kwa kiasi kikubwa usambazaji wake duniani huku kukiwa na wasiwasi juu ya ongezeko la mfumuko wa bei.
Hatua hiyo imeongeza mpasuko wa kidiplomasia kati ya kundi linaloungwa mkono na Saudi Arabia na...
Habari wanajamvi hili juzi nilimsikia mwenyekiti wa NCCR Mageuzi akisema Kesi ya Mwenyekiti Wa Chadema ndugu Freeman Mbowe Haina maslahi kwa taifa.
Mshsngao wangu ni kwamba je kesi zetu sisi raia wa kawaida zinamaslahi na taifa?
Je mbatia alishatembelea magerezani na kujionea watu...
Habari wanajamvi nimekuwa kwenye sintofahamu kubwa katika nchi hii ya Tanzania kwa kuwafikiria vyama vya upinzani nini hasa hitajio lao ili tuwape nchi.
Kwa mfano Kipindi cha Hayati Rais Magufuli yupo hai chadema na vyama vya upinzani walikuwa wanaikosoa serikali kwamba haliichukulii kwa uzito...
Ndugu wanajukwaa habari zenu.
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi Tanzania nimekaa nimetafakari matumizi ya hizi orodha katika madaftari ya wayoto wetu nimegundua yana athari mbaya sana kiaalum hususan somo lenyewe la hisabati.
Kwa mfano tu juzi nilimpa mwanafunzi wangu zoezi la hisabati za...
*TAARIFA KWA UMMA*
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu Wateja wake wote wanao tumia mita za malipo ya kabla yaani (LUKU) kuwa, kuanzia April 2, 2018 TANESCO itahamia rasmi katika mfumo wa malipo wa Serikali ujulikanao kama Government e-Payment Gateway (GePG) kama matakwa ya...
Habari wanajamvi.huwa mimi Nawashangaa Wanaobaki CCM Leo Ila Wakisurubiwa Wanakiponda Chama. Ila Nawashanga Zaidi Wa Upande Wa Pili Wanavyowapokea Na Kuwasafisha.kabda ya hapo walikuwa wanawasema sana
Habari za asubuhi wanajamii forum.
Leo kipindi nasikiliza magazeti radio .Nimesikia mwenyekiti wa CCM Dodoma anashangaa jina lake kutwajwa kwenye list ya waliofoji cheti cha elimu ya kidato cha nne ilihali yeye hajawahi kusoma elimu ya kidato cha nne.
========
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.