Rais hapaswi kudeal na kesi za mtu mmoja mmoja ndio maana SSH akifika anamhoji mbunge au mkuu wa mkoa hawa ndio walioshika mahitaji ya sehemu zote.Shida za mmoja mmoja mwananchi inabidi asiwasilishe kwa viongozi wa ngazi ya chini.kama hajatimiliziwa mahitaji yake sasa hivi kuna media nyingi sana...
Inchi hii inawatu wanafki na waongo kabisa .mtu unaongea bila wasiwasi eti mradi umesuswa? Kwani hayati aliucha katika asilimia ngapi? Miongoni mwa dalili ya afya ya akili kumchukia mtu bila sababu.wewe unamchukia mama bila sababu za msingi.
N.B acha chuki za kidini,kikabila,na kikanda.
Na hizo ndizo sababu zilizomponza.Wanaomsema Idd Amin vibaya swali la kutumia tu akili wangejiuliza wangetambua ukweli."KAMA IDD AMIN ALIKUWA ANAKULA NYAMA ZA WATU,ALIKUWA AKIUWA WATU,SLIKUWA AKITESA WALEMAVU.JE KWANINI MPAKA ANAFARIKI HAKUWAHI KUPELEKWA MAHAKAMA YA UHALIFU YA KIMATAIFA (the...
Kama meli inayobeba hizo korosho ipo Dar na pia mfanyabiashara mwenyewe ndio kaamua kutumia bandari ya Dar.sasa wewe inakuuma nini? Kwani korosho hazijanunuliwa?
Nchi zinazosafirisha mafuta kwa wingi duniani OPEC zilitangaza mnamo mwaka 2020 hatua ya kupunguza kwa kiasi kikubwa usambazaji wake duniani huku kukiwa na wasiwasi juu ya ongezeko la mfumuko wa bei.
Hatua hiyo imeongeza mpasuko wa kidiplomasia kati ya kundi linaloungwa mkono na Saudi Arabia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.