kama hilo bichwa hapo juu linavosema sitaki nikwepesh kwepeshe maneno ni mda sas nimekuwa nikijiuliza juu ya wasanii wetu wa hapa tz katik mtandao wa instagram ni vigumu sana ukiweka comment kweny post yake akakujibu labda uwe umemtukana ndo utajibiwa bila ya hivo hawajib cjui ndo hawasomi me...
Habar za muda huu wadau,
Kama kichwa kinavosema, nimekaa nimefikiria kuna siku nilikiwa nimesafiri nimetok nje ya mkoa ninaoishi, sasa nikiwa huko nilikaa kama wiki tatu, ila kuna siku nipo nimetulia sehemu baada ya mishe zangu nikaona simu inaita ile nimepokea ilikuwa ni simu ya jirani yangu...
kwa akina dad ambao mlikubali kuachia bikra zenu ili mradi na ww umiliki smartphone aina ya tecno p3[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nakupa polee xana mana i phone 8 na s8 ndo zinakujaaaaaa[emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]
RUKSA kama ni girl kuchangia uliachia bikra yakk kwa ushawish...
husika na kichwa,nlikuwa naplay game ya gta xax ikasumbua ikanibid niformatt hard d na kuinstall window7 ultmate lkn kwa sas nikifungua ile game ya gta inanambia can not find enough available video memory naomba msaad juu ya hilooo tafadhali ntashukur nikifanikiwa
pia na sound driver...
habar za ucku huu wadau nina omba msaada kwa wale ambao wanaweza wakawa wanaelewa juu ya tatizo hil,nkikuwa nmeinstall gta nikacheza mda flan nka istpisha xax betri ilipoisha chaji ikaizm pc so nikaiwasha ikawa inawaka lkn inazuiliwa na ile game so nkaifomatt pc then nka install window ila kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.